Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ameshindwa mabasi yasiyozidi 300 anapewa kuchunga mamilioni ya mbuzi atawaweza!!!xiii) Amemteua Dkt. Edwin Paul Mhede kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
Dkt. Mhede aliwahi kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART).