Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Mimi niko tofauti kidogo na wewe
Mimi nafikili kusifia hakuna maana zaidi kinachotakiwa ni kutekeleza majukumu yako kwa ufanisi wa hali ya juu
Kuliko kazi yako iwe ni kusifia tu alafu hakuna la maana unalofanya
Na najua pia Wakuu na Mabosi wengi wanapenda kusifiwa but wapo wengine hawapendi sifa za kijanga.
Nakuelewa sana! Mi nimetoa maoni yangu kulingana na tawala za Afrika hasa na aina ya Rais inferior tuliyenaye.

Hayo unayosema wewe ni mambo ya first world!!
 
Anyway tukiacha utani, Bashite kuna namna amegusa pasipogusika, na soon anaweza akarudi bench aendelee kuwa best loser!!
Kuna namna gani mbona kila kitu kipo wazi;

Iko hivi, hotuba ya Bashite siku ya Mapokezi ya Ndege ilikuwa ndo boko la mwisho kutoka kwa fala yule; huwezi kuongea maneno ya hovyo vile mbele ya Waziri Mkuu na tena ukikosa heshima kwa Mkuu wa nchi

Baada ya hotuba ile Samia lazima aliambiwa unataka huyu mpuuzi akutoboe jicho ndo upate ufahamu?

Sema Watz kuna namna hatuna ufahamu wa siasa
 
Tanzania kuendelea kwa misongombwindo hii.........mwiko. Vyeo vyapewa si kwa ujuzi na tajriba bali kwa itifaki za kisiasa!
 
Back
Top Bottom