Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Mimi niko tofauti kidogo na wewe
Mimi nafikili kusifia hakuna maana zaidi kinachotakiwa ni kutekeleza majukumu yako kwa ufanisi wa hali ya juu
Kuliko kazi yako iwe ni kusifia tu alafu hakuna la maana unalofanya
Na najua pia Wakuu na Mabosi wengi wanapenda kusifiwa but wapo wengine hawapendi sifa za kijanga.
 
We Prof amsifie lasaba d??hahah thubutuu
 
Mimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Mnatetemeshwa na mchezo wa kitoto 'merry go around', kazi unayo basi. Kila siku hamisha hamisha, huu ni mzaha Sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…