Nakuelewa sana! Mi nimetoa maoni yangu kulingana na tawala za Afrika hasa na aina ya Rais inferior tuliyenaye.Mimi niko tofauti kidogo na wewe
Mimi nafikili kusifia hakuna maana zaidi kinachotakiwa ni kutekeleza majukumu yako kwa ufanisi wa hali ya juu
Kuliko kazi yako iwe ni kusifia tu alafu hakuna la maana unalofanya
Na najua pia Wakuu na Mabosi wengi wanapenda kusifiwa but wapo wengine hawapendi sifa za kijanga.
Ngoja tuone kama atawaweza wadudu😂Hatawaweza wachuganian wazee wa betooh🤣🤣
Huu usanii hata wasanii wenyewe hawaujuiView attachment 2949558
Tutakosa hizi heka heka
Utakuwa na neno gani wakati huna chako?Mimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Ole sendeka mbunge wa simanjiro ni manyara lakini mikoa jiraniHuko Arusha Si ndio yule Ole nani Mbunge wa Semanjiro wamemshambulia na bunduki au Mimi sijasoma vizuri?
Aweke Namba yake ya Simu tumpendekeze mjumbe wa nyumba 10Utakuwa na neno gani wakati huna chako?
Ndio huko hukoOle sendeka mbunge wa simanjiro ni manyara lakini mikoa jirani
Atapambana tena na wahusika wa pushwa akifika bei basi atateuliwa tena maana channel anayo ya fushwa.Mtu wa payback
Alilamba pesa nyingi sana za ukarabati wa mashule na vyuo
mkuu mbona kama hujaridhika/hujafurahia teuzi na tenguzi?Mimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Ile hotuba ya kijinga wakati wa kupokea ndege ilikuwa ndo mwisho wake; Arusha hakuna RC anadumu miaka 2Kashushwa cheo au analetwa serikalini mdogo mdogo.?
Umepigwa na kitu kizito Shehe, haya kaendeleze Uchawa kwa Wadudu Chuganistan kama mkipawezaMimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Makonda alitaka kujiinua kuliko mkuu wake.Nchimbi kafagia benchi zima la Lumumba sasa ni zamu ya kujipanga kimkakati kwa mbinu mpya na si porojo .
Kuna namna gani mbona kila kitu kipo wazi;Anyway tukiacha utani, Bashite kuna namna amegusa pasipogusika, na soon anaweza akarudi bench aendelee kuwa best loser!!
Bado iko waziNafasi ya makonda kapewa nani
Nyani haoni kundule, jiwe alikuwa anafanyaje?Huyu Rais huwa anatengua na kuteua usiku tu?!!!
Hatuna viongoziAsha Rose Migiro anarudi tena kufanya nini?
ccm sijui wanatuonaje
Umakini kuwa nao wewe!!Kuwa makini sana na bashite, huyu jamaa kumcheka bado sana