Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Basi sawa.
 
Eti siasa za ccm kutafuta kuungwa mkono! Unachekesha sana. Bila majeshi ccm inaweza Fanya siasa Gani za kistaarabu. Ghafla umegeuka shehe Yahya, eti miaka 30 ijayo! Wewe inaweza jitabiria miaka Yako 30 ijayo!?
Hahaa Mkuu Jay Jay Nchi hii ina wajinga wengi sana tena wakubwa.

Huyo naye ni mwanajamii forum....jiulize Mwananchi wa kawaida yuko na hali gani ya ujinga.
 
Mkuu Tate Mkuu huyu Lucas Mwashambwa alikuwa mkulima nzuri Sana wa magimbi na parachichi hapa Mbodzi, tangia alianza kuwashabikia wakina Tulia mara Bashite ,Samia n.k ili apate teuzi ndio chanzo chakuua kilimo chake ila kwasasa labda amepata akili nakurudi kukamata jembe
 
Makonda na Chongoro nani alikuwa mkubwa??
Chongoro mkuu wa wilaya
Makonda mkuu wa mkoa sasa nani kashuka hap??
Kumbe unaandika andika TU hata taarifa huna! Punguza ujuaji wakati hujui kitu. Chongolo mkuu wa wilaya wa nyumbani kwenu labda.
 
Hivi unaakili kweli . Kwa hiyo uchaguzi wa 2025 haupo au uko mbele ya muda kwamba CCM amesha shinda uchaguzi wa 2025 unaelewa maana ya neno mkakati??
Bichwa kubwa akili ndogo .
Mkakati Gani ambao unamtegemea Makonda!? Magufuli alivyoiba chaguzi nchi nzima , Makonda alikuwa na cheo Gani!? Huyo Makonda hana huu ukuu unaotaka kumpa. Juzi TU hapa alikuwa nobody kabla ya kukumbukwa.
 
Mimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Inatakiwa uteuzi wa waziri wa pesa mtaani nao upate waziri,bajeti inapangwa hakuna mafungu,quarter zinapita mafungu hakuna,nini maana yake,Kizimkazi
 
Atakuja kutuambia hataki mtu aje kwenye mkoa wake wa Arusba

Sasa lile ghorofa analojenga ukweni pale njiro litaenda kwa kasi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…