Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Acheni kujitoa ufahamu. Katibu wa Itikadi siasa na uenezi aliyepita kabla ya Bashite aliishia kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya. Ila yeye kawekwa mkuu wa mkoa wa Arusha kimkakati. Je yeye na Chongolo ambaye alikuwa katibu mkuu wa chama wana tofauti gani? Tena yeye kapewa jiji lenye ngome ya upinzani!?

Hapo ni siasa za CCM za kutafuta kuungwa mkono kaskazini. Kuitoa CCM haitowezekana kwa miaka 30 ijayo. Huo ndio ukweli mchungu. Kwa akili za upinzani kudemka inaonesha hawaijui siasa na watapigwa bao tena.

CCM ni dubwana kubwa sana.
Iwe dubwasha isiwe dubwana.....demotion completed.

Watoto wa mjini.....hapo hakuna mkakati wowote.

Ccm kushinda Arusha inaweza. A imeweza miaka yoote bila Makonda.
 
Hapana mkuu hio ni mkakati hapa Mama nimemuona ni mafia sana
Akili nyingi hizo🤣🤣
Mkakati dhidi ya nani?

Ccm inaweza kushinda mahali popote bila Makonda.
Tena Arusha ndio kama maji.

Mkakati kutoka UNEC umeshindikana uje uwezekane kwa RC?
 
Back
Top Bottom