JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Zilisaidia nini zile Sanaa!? Eti hali ngumu! Mnaweza kuweka uchaguzi huru ili kipimo halisi kionekane!? Au ndio mtaendelea na ile ile " Refa wa mechi ya Yanga na Simba anateuliwa na GSM!?"Na kwa siasa na style zake ukweli Chadema walikiwa na hali ngumj.Sijajua mama Samia atamuweka nani mtu wa makeke