Duh! Kumbe kahamishiwa katibaNaibu katiba na sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Kumbe kahamishiwa katibaNaibu katiba na sheria
Ila huyu jamaa anapenda misifa😃View attachment 2949558
Tutakosa hizi heka heka
kwani we huwa unakosa cha kuandika? Soon kuna uzi utaanzaMimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Ngoja tuone kama upinzani wote hawatarudisha kadiArusha sio dar, aende kwa step.....
kijana ya kazi,Ni wazi hili jimbo halitaponyoka tena. Wale waliotegemea kulichukua haitakua rahisi tena.
Unaongea Kama nani?. Shida mnawaza upinzani tu.Ni wazi hili jimbo halitaponyoka tena. Wale waliotegemea kulichukua haitakua rahisi tena.
Acha pumba. Upinzani wote unaujua? . Eti warudishe kadi kwa lipi?Ngoja tuone kama upinzani wote hawatarudisha kadi
Wewe ndio utafute kazi nyingine chawa mkubwa. Njaa zako Baki Nazo mwwnyeweWale wa upande wa pili tutafute kazi nyingine