Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri muda mchache baada ya kufanya mabadiliko

Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri muda mchache baada ya kufanya mabadiliko

Unajuwa nacheka sana nahisi ile kauli wakati wa ufunguzi wa Bunge Mh JK aliwahi sema isije fika siku watu wakachapa makaburi yetu nakusema hivi haya Mazee yalikuwa na akili kweli? Well itategemea kama atakubali feedback au atakataa nakusema anaweza. Muda utajibu maswali yote.
 
Back
Top Bottom