MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mama anaupiga mwingi. Kazi iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu wamkumbushe kwamba aangalie kwenye kioo ataliona tatizo,
Tanzania lahaaaa😂😂 nakula ugali na vifuru...... Nijambe akalale mie
Andika kiswahili utaeleweka tuDisorganized , incoherent and inferior!
Hili sio darasa la lugha .Andika kiswahili utaeleweka tu
Ilimshinda kamanda Magu ndio aiweze Samia? Mhmm huujuwi mfumo...Rais kaamua kuifumua serikali yote na kuisula upya.
Bado hujasanuka? Huyo mama uwa hawajui watu anao wateua. Anaweza kukutumbua leo, kesho akaletewa tena jina lako akakuteua.Ni wasi Sasa Samia anakurupuka
Mwanzo alimfuta kazi Aisha amour Tena amemrudisha khee
Luka amejifungia chumbani pale tunduma tokea mchana analia kwa uchungu mkubwa.
Bila shaka ni MzanzibarHuyo katibu mkuu wizara ya ujenzi ni mshenzi na kusirani.
Hatumtaki
Kuna siku alikuja job alizingua nusu nimtie kondeBila shaka ni Mzanzibar
Kusahau imo ndio ubinaadamuNi wasi Sasa Samia anakurupuka
Mwanzo alimfuta kazi Aisha amour Tena amemrudisha khee