Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri muda mchache baada ya kufanya mabadiliko

Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri muda mchache baada ya kufanya mabadiliko

Mimi naona huyu kiongozi wetu anachangamoyo za utimamu wa kiutendaji, haiwezekani asubuhi itangazwe naibu waziri wa kilimo halafu jion anabadilishwq kuwa naibu waziri wa mifugo na uvuvi. Inasikitisha kuwa na serikali ya bahati nasibu
Labda waliomsikia akitamka hawakufuata maelekezo yake...
NB: Kwa sasa hizo ni fursa za kurudisha fadhila. Usizichukulie serious sana. Wenzako wanaingiza maokoto!
Kama unakwazika ungana na wana-mabadiliko!
 
Hili taifa hilikuwa tayari kuongonzwa na mwanamke itachukua mda mrefu kunielewa na haitokaa tena itokee hivi miaka 50 ijayo mark my words


Jinsia ya mtu haihusiani chochote na uwezo wake kimaarifa na kiutendaji.















Hii awamu ni Reincarnation y 2005-2014, kunywa maji safari bado ndefu.
 
loading...


MR. OMARI ISSA
BOARD CHAIRMAN
Tanesco's board chairman.


Omari Issa :
Former Chief Executive Officer, Investment Climate Facility for Africa (ICF)
BSc (Hons), Polytechnic of Central London; MBA, Columbia University, New York. Formerly: Deputy Chief Engineer and Chief of Long and Short Term Planning, East African Posts; 14 years with IFC; six years with World Bank; 2000, Senior Vice-President, Business Development, Celtel; Executive Director and Chief Operating Officer, Celtel International, Netherlands, oversaw operations in 13 African countries. 2006, established fully-funded education foundation to support girls from secondary school to graduation from well recognized universities


Madam President yupo kazini.

Sasa tupo hatua ya Recycling kwenye zile RRRR.



FaizaFoxy
 
View attachment 2734059
Bi. Maryam Salim - Benki ya Dunia / World Bank

Ms. Maryam Salim is the Country Manager of the World Bank for Cambodia. Ms. Salim has more than 20 years of experience in the World Bank, during which she has led a number of Program and Policy reform initiatives.

Prior to this position, Ms. Salim was Country Manager of the World Bank for Albania, and she held various other positions, including Advisor in the Office of the Chief Executive Officer and Senior Vice President for Operations. She worked also as Operations Advisor and Program Leader for Investment Project Financing. Ms. Salim joined the Bank as a Young Professional in 1998 and has worked in health and social protection programs in the Africa, Europe and Central Asia, and East Asia and Pacific Regions.

A Tanzanian national, she holds a Master's in International Economics and International Relations from the Johns Hopkins University's Paul H. Nitze School of Advanced Studies and a Juris Doctor from Georgetown University.

Kwa mujibu wa hii CV ni wazi hajawahi hudumu Tanzania ama Kama alishahudumu basi ni kwa muda mchache sana na ni Tanzania visiwani most probably sio huku bara.

Sasa kwa mtu ambae hayajui mahitaji ya watanzania kinagaubaga Kama huyu ni rahisi kumpoteza ama yeye kuendelea kufanya kazi kwa theory tu na mwisho wa siku tusipate matokeo chanya Kama ambavyo wateule wengi wa Mzee Kikwete ambao ni diasporas hawakuonyesha maajabu zaidi ya kuondoka na kashfa.

Ngoja tuone…..
 
Ukiweka kwenye kekundu unaliwa ...weka kwenye keusi utakula
 
Mimi naona huyu kiongozi wetu anachangamoyo za utimamu wa kiutendaji, haiwezekani asubuhi itangazwe naibu waziri wa kilimo halafu jion anabadilishwq kuwa naibu waziri wa mifugo na uvuvi. Inasikitisha kuwa na serikali ya bahati nasibu
Bandari
 
Back
Top Bottom