mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 1,027
- 1,869
Kuna watu wana bahati kama namba 21 na 108 pamoja na namba 46 na 115 aseeeee unateuliwa hadi halimashauri mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atalazwa nje ya ofisi yake siku ya kwanza, baada ya hapo heshima na adabu mbele!!Shetani kaletwa Tanga, tunafanyaje sasa jamani! Wadigo, tunafanyaje? Mbumbumbu marafiki zangu.... hawajui hili wala lile...wazee wangu wa kidigo na ardhi yao...
Atalazwa nje ya ofisi yake siku ya kwanza, baada ya hapo heshima na adabu mbele!!
Ni vema, hakika kwa kupitia hapa lazima ataanza kuji-tune ili asiwaangushe wale waliopamoja nae, na awa-prove wrong wengineo!!Nawaza kwa sauti tu.Pamoja na kasoro zilizopo, busara zimetumika. Hongera Chiza Marando, unastahili.
Kwani Tanzania ina watu wengi wenye akili? Nusu ya viongozi wa nchi hii hawana akili timamu, sio kwamba hawana akili kabisa ila hawana timamu ambayo ndio tunaihitaji.Wenye akili kwa kiwango gani?!!!
Wengi wa Watanzania hawaihitaji hiyo katiba mpya....
Ni wanasiasa wachache tu....
Taifa la watu milioni 60 wanasiasa wangapi?!!
#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Ni kweri, watashangazwa wengii.Ni vema, hakika kwa kupitia hapa lazima ataanza kuji-tune ili asiwaangushe wale waliopamoja nae, na awa-prove wrong wengineo!!Nawaza kwa sauti tu.
Ikulu inakosea kupanga majina?kuna maDED wamepangiwa mara mbili mbili wakirekebisha utamuona
Jina lake Nani? Nikuchekie hapa npo na HANIU ofisin kwakeNimepitia mkeka wenye majina 184 sijaliona jina la aliyekuwa DED wilaya ya chato,Mkoa wa Geita. Mwenye kuliona hilo jina tafadhali.
Nimeuza tu
Kapangiwa usafi wa makaburi ya wakubwaNimepitia mkeka wenye majina 184 sijaliona jina la aliyekuwa DED wilaya ya chato,Mkoa wa Geita. Mwenye kuliona hilo jina tafadhali.
Nimeuza tu
Kuna huyu mdada mrembo binti ya dada yake Hayati Magufuli alikuwa DED/RAS Morogoro sijui bado yupo. Please mwenye picha yake. Katulia sana.Hebu tupeni orodha ya waliotemwa tuwaone.