Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama mbona hivyo lakini! Tatizo nini?ETI DC MMOJA KACHAGULIWA HALMASHAURI MBILI. BUKOMBE NA MISUNGWI
lutengano G
wakati wengine wame kosa chansi.....View attachment 1877307View attachment 1877310
DC au DED?ETI DC MMOJA KACHAGULIWA HALMASHAURI MBILI. BUKOMBE NA MISUNGWI
lutengano G
wakati wengine wame kosa chansi.....View attachment 1877307View attachment 1877310
who are they?wakurugenzi waliozaliwa Chato wote wamepigwa chini
who are they?wakurugenzi waliozaliwa Chato wote wamepigwa chini
Kwani lini hizo enzi ziliwahi kuondoka nchini?Uteuzi umezingatia kigezo cha KUJUANA
Nchi imerudi kwenye zama za mabwanyenye na unanijua mimi nani?
Hawa jamaa wakapigishwe zile pepa za UTUMISHI,watajua hawajui.Tuna katiba mbovu sana hii mtu mmoja kuteua anayemutaka kama huna Konekisheni huwez pata nafac tunahitaji katiba mpya nafac hz ziwe zinashindaniwa
Matendo ya kishetani anayoyafanya.... mengi tafutaKwani ni umuite mwanadamu mwenzako shetani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadema mnataka mbaki peke yenu eee?!![emoji1787][emoji1787]
Kutamani sio kupata.....
ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
#Rip JPM
#SiempreCCM
#SiempreSSH
#KaziInaendeleaKwaKasiYaKutisha
Mwanza jijiShomary ebu tuambie katokea wapi
Binti maguKuna huyu mdada mrembo binti ya dada yake Hayati Magufuli alikuwa DED/RAS Morogoro sijui bado yupo. Please mwenye picha yake. Katulia sana.
Ukada ndio kigezo number mojaMnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mwendo wa kichama, makada?
Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
Mumewe ni mkuu wa shule ya sekondari dundani,wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,Tena ni mpoleeeeeeeee,nilishawahi Fanta nae kazi fulani,.nahisi jamaa anaburuzwa Sana,maana kiburi Sana huyo Mama.Sipora amekuwa matatizo DSM, leo kaletwa Tanga badala ya kumpumzisha....
sijui wanayaokotaga wapi? barabarani?Mumewe ni mkuu wa shule ya sekondari dundani,wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,Tena ni mpoleeeeeeeee,nilishawahi Fanta nae kazi fulani,.nahisi jamaa anaburuzwa Sana,maana kiburi Sana huyo Mama.
Zilikuwepo enzi za jakaya, enzi za magufuri zikapotea. Mara ghafla zimeibuka kwenye zama za miss utaliiKwani lini hizo enzi ziliwahi kuondoka nchini?