UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184
ETI DC MMOJA KACHAGULIWA HALMASHAURI MBILI. BUKOMBE NA MISUNGWI
lutengano G

wakati wengine wame kosa chansi.....
IMG-20210802-WA0008.jpg
IMG-20210802-WA0005.jpg
 
Tuna katiba mbovu sana hii mtu mmoja kuteua anayemutaka kama huna Konekisheni huwez pata nafac tunahitaji katiba mpya nafac hz ziwe zinashindaniwa
Hawa jamaa wakapigishwe zile pepa za UTUMISHI,watajua hawajui.
 
Chadema mnataka mbaki peke yenu eee?!![emoji1787][emoji1787]

Kutamani sio kupata.....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO

#Rip JPM
#SiempreCCM
#SiempreSSH
#KaziInaendeleaKwaKasiYaKutisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ccm mnataka mbaki na chadema mpaka lini huku nyie mmeshika usukani
 
Wakuu Nawapa Taarifa Tu Kwamba, Kwa Mkoa Wa Pwani, Katika Wakurugenzi Wateule Ambao idadi Yao Ni 9, Miongoni Mwao 8 ni Waislamu na 1 Tu Ndio Mkiristo ambae Ni John Kayombo Lipesi ambae Ni DED Wa Rufiji. [emoji119][emoji119][emoji119]... Kazi Iendelee
 
Mnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mwendo wa kichama, makada?

Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
Ukada ndio kigezo number moja
 
Sipora amekuwa matatizo DSM, leo kaletwa Tanga badala ya kumpumzisha....
Mumewe ni mkuu wa shule ya sekondari dundani,wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,Tena ni mpoleeeeeeeee,nilishawahi Fanta nae kazi fulani,.nahisi jamaa anaburuzwa Sana,maana kiburi Sana huyo Mama.
 
Mumewe ni mkuu wa shule ya sekondari dundani,wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,Tena ni mpoleeeeeeeee,nilishawahi Fanta nae kazi fulani,.nahisi jamaa anaburuzwa Sana,maana kiburi Sana huyo Mama.
sijui wanayaokotaga wapi? barabarani?
 
Back
Top Bottom