Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Wote waliondolewa wakati wa JPM,makomredi wote wanarudi mdogo mdogosawa sawa akina manyama.
Aliyemtumbua nae alitaka aweke wakwakeNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Mnaweza kuwa wengi ila ni mburula na hamna connectionHivi watanzania tuko wachache au ni mimi macho yao hayaonagi mbali
Atafundisha kwa njia mtandao.Akirudi huko Kesha zeeka.
Sasa shule ya Uzalendo na #kataawahuni nani atafundisha.
View attachment 2150466
View attachment 2150467
Ni Naibu Katibu Mkuu-Wizara ya Fedha na Mipango.Mafuru tayari yupo wizara ya fedha, ni msajili
Nani huyo kwan ?Huyo anelekezwa kibra, katolewa ubunge huko malawi achukui muda uteuzi unatenguliwa
Kazi ya JK, simuoni SSH akiwa na mbinu za kisiasa za kiwango kama hicho.Aisee mama samia Yuko very smart and very calculated😊
Balozi kapelekwa EgyptEmmanuel Nchimbi vipi tangu arudi toka Brazil, yupo wapi?
Mh. HumpfreyNani huyo kwan ?
Kwani kutumbuliwa na magufuli ni dhambiPOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?
Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.
Masuala ya kisiasa sio ya kuweka moyoni kama vile ushabiki wa Yanga na Simba, utajikuta unaumiza tu nafsi.POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?
Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.
😳😳Mh. Humpfrey
kn sehemu watu waliweka maslahi yao.sasa wanarudi kuendelea walipoishia
Mkuu wa Chuo cha ccmBado bashiru sijui atapangiwa wapi!?!
Nchi inaongozwa na watu wa hivyo,yani mchechu ndio anaweza NHC na wengine hawawezi...jk anaongoza hii serikali nchi inarudi kwenye upigajiRais Samia Suluhu amemteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Sambamba na hilo Rais Samia Suluhu amemteua Shamsi Vuai Nahodha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pia Rais Samia Suluhu amemteua Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Kindamba alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TTCL na anachukua nafasi ya Mhandisi Marwa Rubirya ambaye amestaafu kwa umri.
Polepole na Kindamba wanatarajiwa kuapishwa kesho Jumanne tarehe 15 Machi 2022 Ikulu ya Chamwino Dodoma saa 04:00 Asubuhi.
Katika hatua nyingine Rais Samia Suluhu amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Mchechu ambaye amewahi kuhudumu kwenye wadhifa huo, anachukua nafasi ya Dkt. Maulid Banyani ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Pia amemteua Balozi na Mkuu wa Jeshi la Polisi (Mstaafu) Ernest Jumbe Mangu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Bandari (Tanzania Port Authority).
Na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Peter Ulanga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
Ulanga ni Mkurugenzi Mstaafu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF).
Na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Meja Jenerali John Julius Mbungo, Mkurugenzi Mstaafu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Meli Tanzania (MSCL).
View attachment 2150380