Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Fitina za JK kazini. Kindamba ni team JPM kamheshimu sana kumpa ubalozi.

Pole pole amenyamazishwa kisomi, achague moja aidha asusie cheo aendelee kuongea au akafanye kazi na akae kimya.
 
Kwani kutumbuliwa na magufuli ni dhambi
 
Ninavyomjua HP ,Huko kwa Wanyasa Hatakwenda.Yeye siyo wa kupelekwa pelekwa.By the way alisema yeye njaa haiumagi kihivyo.Alifika Dar muda mrefu. na alikuwa na mpango wa kutogombea ubunge baada ya kumaliza muda wake
 
Masuala ya kisiasa sio ya kuweka moyoni kama vile ushabiki wa Yanga na Simba, utajikuta unaumiza tu nafsi.
 
mara mwakani anastafishwa ubalozi....kataa wahuni wanamtoa kijanja mnoo 😂
 
Akirudi akalime vitunguu, kijijini kwao hii ni demotionbkubwa sana
 
Nchi inaongozwa na watu wa hivyo,yani mchechu ndio anaweza NHC na wengine hawawezi...jk anaongoza hii serikali nchi inarudi kwenye upigaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…