He will win who knows when to fight and when not to fight.Ninavyomjua HP ,Huko kwa Wanyasa Hatakwenda.Yeye siyo wa kupelekwa pelekwa.By the way alisema yeye njaa haiumagi kihivyo.Alifika Dar muda mrefu. na alikuwa na mpango wa kutogombea ubunge baada ya kumaliza muda wake
Si lazima kuchanja kuingia nchi nyingi za AfrikaAlikuwa pioneer wa kupinga uamuzi wa serikali yake kuleta chanjo
Sasa. Kapata uteuzi wa kuliwakilisha taifa huko kwa majirani zetu
Kwa taratibu za usafiri na kuingia nchi mbali mbali ni lazima uchanje ...
Najiuliza tu huyu Mhe.Je atachanja ?
Sasa hiyo uliyo underline unaona ni sababu yenye mashiko?Hujui kuwa alikuwa ameteuliwa kwenye nafasi hiyo na Kikwete?
Labda maslahi hayo ni yale yaliyo nje ya sheria, ila maslahi ya kawaida kama mishahara na stahiki zake naona ni mambo ya kawaida bila kujali nmkurugenzi ni nani. Sasa kama alikuwa anaruhuru watu kujipatia maslahi kwa urefu wa kamba zao, basi watafurahi tena.
Sababu iliyomfukuzisha wakati huo ni hiyo hiyo, baada ya uchunguzi ulioongozwa na mwenyekiti ya bodi ilionekana ufujaji mkubwa ulikuwa umefanyika.
View attachment 2150411
View attachment 2150415
Kumbe huyo jamaa ni jipu namna hii? Kwanini wamrudishe tena?Juzi waliidhinisha mkopo wa kibiashara tsh 164 billioni with government guarantee NHC wamalizie miradi yao iliyokwamia kati washapewa first payment tsh 40 billion.
NHC ilikopa zaidi ya tsh 1 trillion zama za J.K miradi hayo aikulipa. Kwakuwa mkopo ulikuwa na government guarantee sasa hivi linalipwa na walipa kodi; Nehemia alipotaka tena government guarantee kwa miradi ambayo keshaikopea ilihali madeni ya awali serikali inamlipia for poor investment decision and poor management costs za miradi ndio JPM alipoona upuuzi na kumtimua.
Mama shida hiyo kazi sio size yake ni wazi nani anaongoza nchi kwa sasa.
Kumalizia miradi sio shida but does it to be the same people who caused the problems in the first place.
Wewe ndio unaweweseka kwa wenge.Punguza wenge
Ndugu yangu J.K akipenda aambiliki na finance zenyewe hajui yeye anachoona ni magorofa tu.Kumbe huyo jamaa ni jipu namna hii? Kwanini wamrudishe tena?
Labda upite njia za panya ndugu ...Si lazima kuchanja kuingia nchi nyingi za Afrika
Wanatukosea Sana walipa kodiRecycling bad, old, broken, tired people, with nothing new to offer. Uwezo mdogo wa kuchagua watu sahihi kuongoza na kusimamia Taasisi, idara na wizara nyeti kwa maslahi ya Tanzania unaligharimu na utaligharimu sana hili taifa.
Malawi hawaulizi cheti cha chanjo cha COVID. Nimetoka Blantyre ijumaa nilienda toka JanuaryLabda upite njia za panya ndugu ...
He will win who knows when to fight and when not to fight.
Sun Tzu
Nadhani hapa ni Check Mate...., aende akafe politically au abaki aendelee na msimamo wake wahumi waendelee kumlia Timing...
Nadhani kama akibaki ajitoe kwanza CCM na aanze kuwachana live hawa wahuni (maybe it may payoff long term)
Au anapewa juice baridi apoze koo.Akikataa Uteuzi wa Rais kesho kutwa yule Muandishi wa Barua ya Mnyika ya kuteua Kina Halima Mdee na ya kujiuzulu Ndugai anaingia Jikoni na huwa hakosei mapishi
J. K mwenyewe ukimuangalia utasema sio yeye anayesemwa hapa.Ndugu yangu J.K akipenda aambiliki na finance zenyewe hajui yeye anachoona ni magorofa tu.
Ndicho mama kafanya saizi ,wamewapa bank guarantee wamalizie ile miradi iliyokwama na shirika lirudi kama awali.Chuki tu ndo sababu.... NHC ikipewa Mkopo na kuachwa ijiendeshe nchi yetu ingejengeka sana
Kiukweli siwezi kuamini usemacho kaka covid 19 inaripotiwa kila leo se.a ni ivyo tu russia and Ukrain war ime take overMalawi hawaulizo cheto cha chanjo. Nimetoka Blantyre ijumaa
Wanatukosea Sana walipa kodi
Mzee kama huyo alikwishastaafu unamrudisha wa nini?
Kaishiwa idea akili nayo imefika ukomo.
Angepelekwa ukrain au afghanistan ingekua poa sanaPOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
👍Hata Dr Possi alikuwa mbunge wa kuteuliwa lakini baadaye JPM alimpeleka ubalozi Ujerumani, hiyo inakubalika hakuna shida.