Sio kwamba ni draft la msogeerAisee mama samia Yuko very smart and very calculated😊
Haendi ... Chukua HiiNdio imeisha hiyo.
Pole Pole sasa akapumzike.
Kama ni mwamba basi akatae huo uteuzi.
LABDA TUTAKUTANA NAYE 2025 KWENYE KAMPENI.Ataenda,ukimiya wake alifika bei.Yule ilikuwa njaa.
HATA MIMI NAAMINI HIVYOSio kwamba ni draft la msogeer
Ana jeuri ya kukataa ?POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Mama hakurupuki, anakufinya uku anakupuliza.
KWANI TULIKUWA TUNAENDA WAPI?POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?
Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.
Wakati mabalozi wanarud kuja kugombea ubunge..Ubunge ni dili kuliko ubalozi.Kaula? Hauko siriaz mkuu
Tusubiri tuone.
Hiyo nafasi kama ni muhimu na bora ampe Riziwani KikweteAna jeuri ya kukataa ?