Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Hakuna haja ya kukataa, kama anaamini katika Mungu basi atulie aende...Siku asiyoitegemea atalipwa mara saba yake
 


Kama nilivyoshauri! Polepole atafutiwe ubalozi wa Malawi akapigie kelele zake huko! 😂. Hii itamsaidia vilevile maana siasa sio kazi lakini ubalozi ni kazi.
 
Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Huyoo ndoo aliyesimamia ule ujenZi wa gorofa lile refu kule Dubai Kama hujui unajui kikwete ndoo alimkuta kule karudi eneo lake. Ashukuru Safari yamama farume zakiarabu
 

POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.​

Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.​

Ataitwa kwenye chama kwa utovu wa nidhamu
 
We kuwa mpole uongozwee
Tu

Ova
 

POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.​

Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.​

shida ni kwamba huwezi kataa..si kwamba unataka ila sababu system inakua inataka iwe hivyo. na yeye anaijua system inaweza kumfanya nini asipochukua hio option..
 
Kutoka mshahara milioni 12, posho laki tatu kwa kikao, mafuta Lita 1000, ziara za kukagua miradi nchi nzima.....politically finished
Ubalozi mshahara shillingi ngapi?
 
Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Hujui kuwa alikuwa ameteuliwa kwenye nafasi hiyo na Kikwete?

Kesho huko NHC kutafanyika bonge la Party maaana Mchechu ni Kipenzi cha Wafanyakazi kwa jinsi anavyojali maslahi yao .
Banyani nae alikuwa jembe sana pia

Labda maslahi hayo ni yale yaliyo nje ya sheria, ila maslahi ya kawaida kama mishahara na stahiki zake naona ni mambo ya kawaida bila kujali nmkurugenzi ni nani. Sasa kama alikuwa anaruhuru watu kujipatia maslahi kwa urefu wa kamba zao, basi watafurahi tena.

Kibali Cha kukopa bil 300 kwenye commercial banks, ili kumalizia ili kumalizia Morocco square

Sababu iliyomfukuzisha wakati huo ni hiyo hiyo, baada ya uchunguzi ulioongozwa na mwenyekiti ya bodi ilionekana ufujaji mkubwa ulikuwa umefanyika.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…