Hakuna haja ya kukataa, kama anaamini katika Mungu basi atulie aende...Siku asiyoitegemea atalipwa mara saba yakeAmeteuliwa leo na kuapishwa ni kesho..yani hajapewa hata nafasi ya kujitafakari kuhusu uteuzi....na pia ameteuliwa kuwa balozi na hapo hapo vuai nahodha ameteuliwa kuchukua nafasi ya pole pole...amepewa options ngumu sana hapo polepole..lazima akubali tu hio teuzi maana mbadala wake ameshateuliwa tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni suala la muda tuMara paah Bashite kala shavu. Daah sipati picha.
Rais Samia Suluhu amemteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Sambamba na hilo Rais Samia Suluhu amemteua Shamsi Vuai Nahodha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pia Rais Samia Suluhu amemteua Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Kindamba alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TTCL na anachukua nafasi ya Mhandisi Marwa Rubirya ambaye amestaafu kwa umri.
Polepole na Kindamba wanatarajiwa kuapishwa kesho Jumanne tarehe 15 Machi 2022 Ikulu ya Chamwino Dodoma saa 04:00 Asubuhi.
Katika hatua nyingine Rais Samia Suluhu amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Mchechu ambaye amewahi kuhudumu kwenye wadhifa huo, anachukua nafasi ya Dkt. Maulid Banyani ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Pia amemteua Balozi na Mkuu wa Jeshi la Polisi (Mstaafu) Ernest Jumbe Mangu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Bandari (Tanzania Port Authority)
View attachment 2150380
Huyoo ndoo aliyesimamia ule ujenZi wa gorofa lile refu kule Dubai Kama hujui unajui kikwete ndoo alimkuta kule karudi eneo lake. Ashukuru Safari yamama farume zakiarabuNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Atafundisha Mbowe na ZittoAkirudi huko Kesha zeeka.
Sasa shule ya Uzalendo na #kataawahuni nani atafundisha.
Ndio mahala pake...akatulie hukoPOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Ataitwa kwenye chama kwa utovu wa nidhamuPOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.
Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.
Shule ya uzalendo atahamishia malawi, ngoja akajaribu kuwafundisha malawi maana hapa bongo amepambana bila mafanikioAkirudi huko Kesha zeeka.
Sasa shule ya Uzalendo na #kataawahuni nani atafundisha.
POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Ndio anakwenda hivyo, utake usitake. Shauri yako.Niende wapi? Jamaa ndiye mchukua fomu wetu 2025 mkuu
We kuwa mpole uongozweePOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?
Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.
shida ni kwamba huwezi kataa..si kwamba unataka ila sababu system inakua inataka iwe hivyo. na yeye anaijua system inaweza kumfanya nini asipochukua hio option..POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.
Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.
Ubalozi mshahara shillingi ngapi?Kutoka mshahara milioni 12, posho laki tatu kwa kikao, mafuta Lita 1000, ziara za kukagua miradi nchi nzima.....politically finished
Naomba kujua Ubunge n ubalozi upo unaenjoy zaidi?
Hujui kuwa alikuwa ameteuliwa kwenye nafasi hiyo na Kikwete?Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Kesho huko NHC kutafanyika bonge la Party maaana Mchechu ni Kipenzi cha Wafanyakazi kwa jinsi anavyojali maslahi yao .
Banyani nae alikuwa jembe sana pia
Kibali Cha kukopa bil 300 kwenye commercial banks, ili kumalizia ili kumalizia Morocco square