Mafuru tayari yupo wizara ya fedha, ni msajili
NI NAIBU KATIBU MKUU!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuru tayari yupo wizara ya fedha, ni msajili
HIVI ITAKUWAJE KAMA POLEPOLE AKIGOMA KUWA BALOZI HUKO MALAWI
Alitangaza nafasi ya mfuta ubao lkn akuna aliyetokeaTatizo ile shule ina mwalimu mmoja daah!
huku ndo kumdhibiti sasa au bado tu hujaelewa [emoji16][emoji16]Pole wameshindwa kumthibiti nchini wameamua kumtoa nje ya nchi
Yule anaendeshwa na rimoti ya gaosm.
ateuliwa Riziwani KikweteHIVI ITAKUWAJE KAMA POLEPOLE AKIGOMA KUWA BALOZI HUKO MALAWI
Kafinywa mdomo. Chezea wahuni...!!Ameulamba hatimaye
Muungano? Muungano?
yaani Polepole aapishwe haraka haraka alafu akawe Balozi Ukraine kwa majira haya,,,,,😜😜😜 haki ya mungu atazirai wiki saba ICUNatamani mama angempeleka nchini Ukraine kuwa balozi wa Tanzania humo 😊
Exile for Humphrey. Tuone kama atakataa
Hana, kumbuka alimwita Ikulu akamkaribisha juiceIla kwa ndugai anacho
Mimi kama mmoja wapo wa maprofesa wa UDSM nakuhakikishia Rais samia hateui mtu bila kushauriana na mzee wa msoga. Kama mwanamke akatae aone kama atatoboa 2025.Maprofesa wa chuo kikuu cha Dar es salaam ninaomba mnieleweshe hili jambo:-
Kuna watu waliteuliwa na JK akiwa Rais, alipoingia JPM watu hao walifukuzwa wote, sasa ameangia Samia anawarudisha wote waliofukuzwa na JPM ila walikuwa wameteuliwa na JK kabla.
Swali la msingi ni nani anamshauri Samia kuteua tena waliokuwa wameteuliwa na JK ila walifukuzwa na JPM?
Agosm wapo kazini..timu yake yote inarusishwa kupitia sa100 ili upigaji uendelee..hakuna cha kazi iendelee ni upigaji uendelee..POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?
Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.
Tuone anaukataa huo Ubalozi.Polepole kamuenzi JPM,kabaki na ulimi mmoja mpaka sasa,na hatimaye kaula.
Hana ujanja wa kukataa atakufa njaa.Huu mchezo ukiendelea ,Dr Bashiru anapelekwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.
Polepole kataa huu uteuzi.