Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Kijana mfupa hauwezi bora aende zake Malawi akale mema ya nchi, baada ya hapo apelekwe Afghanistan, Bulgaria na Mongolia....

Vita na hao wazee wa SAIGON bwana mdogo Polepole haiwezi, Hiyo vita kaipigana Lowasa kashindwa kutimiza ndoto zake na wamemtuliza, nk nk...Polepole bado sana..sema tu ndio vile tu wazee wa saigoni hawapendi kelele....vyeo vipo vingi...wangeweza kumuweka benchi na bado asingewafanya kitu...
 

Maprofesa wa chuo kikuu cha Dar es salaam ninaomba mnieleweshe hili jambo:-​

Kuna watu waliteuliwa na JK akiwa Rais, alipoingia JPM watu hao walifukuzwa wote, sasa ameangia Samia anawarudisha wote waliofukuzwa na JPM ila walikuwa wameteuliwa na JK kabla.​

Swali la msingi ni nani anamshauri Samia kuteua tena waliokuwa wameteuliwa na JK ila walifukuzwa na JPM?​

Mimi kama mmoja wapo wa maprofesa wa UDSM nakuhakikishia Rais samia hateui mtu bila kushauriana na mzee wa msoga. Kama mwanamke akatae aone kama atatoboa 2025.
 
polepole pengine ingekua ngumu Mana ndio aliinjinia ukwapuaji wa matokeo ya uchaguzi na usukwaji wa covid 19
 

POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?​

Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?​

Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.​

Agosm wapo kazini..timu yake yote inarusishwa kupitia sa100 ili upigaji uendelee..hakuna cha kazi iendelee ni upigaji uendelee..

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom