Uteuzi: Rais Samia amteua Nehemia Mchechu kuwa Msajili Hazina

Wazanzibari wanakula nchi yetu wanavyojisikia wakati nchi yao waneificha nyuma hawataki mtu aiguse
Huna ujualo kaa kimya. Hakuna Mzanzibari hapo wote ni Wa Tanganyika. Tena Wapogoro kabisa wa Morogoro.
Teuzi zinakwenda kwa Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa bara.

Waislamu wa bara itafuteni Tanganyika yenu mliyoipigania kwa nguvu sana, haiwezekani Wazanzibari wanakula share yenu kiulaini kwenye mambo ya nchi yenu ya Tanganyika.
 
Kwa hiyo ile mada ya ukosefu wa vituo vya kujazia magari ya gas jana isiyokuwa na kichwa wala miguu ilikuwa kwa sababu ya kupima upepo kabla ya teuzi.

Nchi ina fitna hii sijapata kuona.

Kuna watu hiyo nafasi ya TPDC walikuwa wanaimezea mate kitambo tu, so wala atushangai.

Huko wizara ya fedha kuna Mwigulu, Mafuru na Nehemia; team ya ulipaji bila kuuliza kule TANESCO imekamilika.

Maza amekusudia kufuata nyayo za ‘Isabela Dos Santos’ kuelekea kwenye ile exclusive club ya kina Mohamed Dewji.
 
Hiyo "mali ya Tanzania ni mali ya Zanzibar ila mali ya Zanzibar siyo mali ya Tanzania"yaani inakera basi tu,sijui kwenye kero za muungano haipo.
 
Maama huwa anatia kichefuchefu kwa kweli .utafikir hii ni nchi ya watu 10 tu
 
Kabla ya GIMCO alikuwa NHC pamoja na Mchechu kabla Magufuli hajawatimua bila sababu kwa WIVU wake.
Siyo wivu; zilikuwa ni hujuma.
Kilichokuwa kinafanyika ni kwamba alikuwa anashauriwa awatoe wazuri wote aliokuwa amewarithi kutoka kwa JK, halafu aweke wengine wa kwake yeye ambao wengi wao ilikuwa ni team ya kumhujumu vile vile.
Kwa hiyo alikuwa akitoa ni "hujuma"; na akiingiza ni "hujuma" pia huku akiwa ametengenezewa uadui na wale aliokuwa akiwatoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…