Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifike mahali ukweli usemwe Tanzania ni Tanganyika tu. Zanzibar imejitoa zamani.Zanzibar ni sehemu ya Tz
Mtanganyika gani anaitwa Makame?
Ukizingatia jiko la Tanganyika muda mwingine linapika mduduhivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Huyu mama uzenji na udini umemkaa sana, yani Tanganyika hakuna mtu wa kuongoza TPDC ya watanganyika mpaka atuletee nduguye?!Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Mchechu master sana, hapo anasogelea cheo kikubwa wizara ya fedha au Benki KuuUchawa!
imagine😵Huyu mama uzenji na udini umemkaa sana, yani Tanganyika hakuna mtu wa kuongoza TPDC ya watanganyika mpaka atuletee nduguye?!
Waislamu wa bara wanapiga madufu tu, zero kabisaTeuzi zinakwenda kwa Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa bara.
Waislamu wa bara itafuteni Tanganyika yenu mliyoipigania kwa nguvu sana, haiwezekani Wazanzibari wanakula share yenu kiulaini kwenye mambo ya nchi yenu ya Tanganyika.
mafuta ni nishati,waziri wa nishati ni mmoja tu J.Y makamba ,so nishati ni ya muungano,mafuta ni nishatiDu sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Msajili wa Hazina ni msimamizi wa mashirika yaliyobinafsishwa,yanayosubiri kubinafsishwa,yaliyoshindwa masharti ya ubinafsishàji,yaliyorejeshwa serikalini.Kwake ni demotion tu, anaancha fursa za kutosha NHC
Huenda wawekezaji wamekuwa wanakwamishwa katika eneo hili,au Kiongozi katika nafasi hii ndani ya taasisi amekaa muda mrefu,na mabadiliko yanahitajika.Huyu mama uzenji na udini umemkaa sana, yani Tanganyika hakuna mtu wa kuongoza TPDC ya watanganyika mpaka atuletee nduguye?!
Hawa majamaa,lazima Kuna kitu waliwafanyia viongozi wastaafu,Mkapa,Kikwete,Sumaye,Lowasa,maana inaonekana wanakubalika sana kwenye huu utawala,
Yaani bila kuwa na "political input"huwezi kuingia kwenye viunga vya siasa
Hawa jamaa sio wa kawaida. Inaonekana wamewafanyia watu makubwa kiasi cha kulipwa fadhila. Kwa kweli wamebarikiwaWamebarikiwa
Mchechu na Mafuru
Kweli Mkuu maana walipogundua mafuta Zenji Dr Shein akasema mafuta siyo ya Muungano.Sasa uyu anakujaje kuongoza Shirika la mafuta Bara!!Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Mtu anatoka Gimco. Kikampuni cha kijanjakijanja na kuwa Mkurugenzi wa NHC? Maajabu aisee.