Uteuzi: Rais Samia amteua Nehemia Mchechu kuwa Msajili Hazina

Uteuzi: Rais Samia amteua Nehemia Mchechu kuwa Msajili Hazina

Bw. Mussa Mohammed Makame, kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Makame alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC),

Safu inazidi kupangwa kwa kuchota uzoefu kutoka sekta binafsi kama alionao Musa Makame sekta ya gesi na mafuta kimataifa

TOKA MAKTABA :
10 June 2022


Waziri January ateaua wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa TPDC
3. Musa Makame — Mshauri Mwelekezi katika sekta ya mafuta na gesi. Aliwahi kuwa Afisa Mwandamizi wa Biashara katika kampuni ya Equinor (zamani Statoil) na kabla ya hapo Makamu wa Rais (Fedha na Utawala) katika kampuni ya Wentworth (zamani Artumas).
Read more : Waziri January Makamba, ateua Wajumbe wa bodi ya Wakurugenzi wa TPDC


Toka maktaba :
Bw. Hamad Abdallah Mkurugenzi mtendaji wa GIMCOAFRICA. Uzoefu wake unaweza uuzwaji, upangaji na kodi kwa majengo ya NHC unaweza kupata mabadiliko chanya na pia kukamilisha miradi iliyokwama ya NHC hata ile ya NSSF Dege Beach Kigamboni DSM isigeuke magofu chakavu

Wakadiriaji wa thamani za majengo estate agency upangaji majumba GIMCOAFRICA
psssf

2N0A9938(5)_resized

GIMCOAFRICA LTD is a Property Management and Valuation firm incorporated in Tanzania. has a qualified team of professionals that provide a wide range of commercial, residential agency and consultancy services. With Gimcoafrica you will find a dependable and knowledgeable partner to work with in all your real estate issues.

Venture Consultants Firm incorporated in Tanzania.

The firm is registered and authorized to practice Property Management, Property Development Consultancy, Letting and Marketing,Estate Agency and Valuation in Tanzania by the National Council of Professional Surveyors and the Valuers Registration Board is also registered by the Tanzania Institution of Valuers and Estate Agents (TIVEA) as a Corporate Member
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-

1. Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine.

2. Amemteua Bw. Hamad Abdallah, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Abdallah alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Gimcoafrica Limited na anachukua nafasi ya Bw. Mchechu ambaye ameteuliwa kuwa Msajili wa Hazina.

3. Amemteua Bw. Mussa Mohammed Makame, kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Makame alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), na pia ni Mshauri Mwelekezi wa masuala ya mafuta na gesi nchini Tanzania. Bw Makame anachukua nafasi ya Dkt. James Mataragio ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 24 Februari, 2023.

View attachment 2528416
boss mpya shirika la nyumba[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
FB_IMG_1677246351340.jpg
 
Wivu gani?

Nyie wazanzibar mnatuharibia nchi , muda si mrefu Tanganyika itaanzwa kuomba kupitia vuguvugu , maana Teuzi nyingi anayependekeza ni mtoto wa Mama
Hakuna mzanzibari hapo wote ni watanganyika
 
wewe una uhakika gani kama hawakuwa na makosa?point yangu ni kwamba Rais hawezi kumuonea wivu a mere mkurugenzi wa nhc 😕 ni uzushi wa kiwango cha lami....kwa lipi narudia tena????????
Kwani ni Mchechu tu aliyeondolewa kazini bila makosa? Mbona ni wengi tu na wengine aliwafungulia mashataka. Lakini for all those years hakuna hata mmoja ambaye alikutwa na hatia hadi Magufuli mwenyewe anakufa. Hapo ndipo uthibitisho wangu wa kuwa Magufuli alikuwa anakuwa driven na hisia, wivu, chuki na ubaguzi.

Usiponielewa hapa omba Mungu akupe akili
 
Back
Top Bottom