Uteuzi: Rais Samia amteua Nehemia Mchechu kuwa Msajili Hazina

Teuzi zinakwenda kwa Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa bara.

Waislamu wa bara itafuteni Tanganyika yenu mliyoipigania kwa nguvu sana, haiwezekani Wazanzibari wanakula share yenu kiulaini kwenye mambo ya nchi yenu ya Tanganyika.
Akili ya baviCha ni kwenye dini na ukabila. Hutaweza kuwagawa waislam kamwe!
 
Hii ya Msechu ni kupanda cheo au demosition?

By the way Kwa nini majina Yale Yale miaka na miaka?
Nashindwa kuelewa hata saa ngapi wanafanya hizo kazi .
Ukikaa kidogo kuweka tako ofisini ushatenguliwa, bado unaaga ushateuliwa, uko safarini kuelekea kituo kipya cha kazi ushapangiwa kazi ingine
 
Naamini Mchechu aliulizwa tumuweke ani badala yako,ila kuendelea kuwa na mirija NHC akamkumbuka jamaa yake . Ni mwendo wa si kulamba asali tu bali kufakamia asali,tena asali ile ya nyuki wadogo wasiong'ata.
Wewe ndo unaweza kua umeongea kitu hapa.wengine wanaropoka hamna wanachojua..mchechu na Hamad ni kulwa na dotto
 
Msajili wa Hazina ni msimamizi wa mashirika yaliyobinafsishwa,yanayosubiri kubinafsishwa,yaliyoshindwa masharti ya ubinafsishàji,yaliyorejeshwa serikalini.
Tegemea mabadiliko katika aina ya mashirika niliyoyataja hapo juu("reforms')
 

Attachments

  • Screenshot_20230225-074807.png
    107.7 KB · Views: 6
Kinachofanyika hapo ni kutafuta wasio taka muungano toka Pande zote mbili wawe wengi ili watu wajitenge tofauti na hapo mwanzo wengi walikuwa hawataku muungano walikuwa wanatokea Visiwani Tz
 
Hao GIMCO ni madalali waliotukuka tu. Wamejenga ghorofa gani au estate gani mpaka MD wao awe na wasifu wa kuwa MD wa NHC?

NHC inakwenda kudorora sasa.
 
Nachukia kwani hakuna watu wengine wenye taluma hiyo hadi miaka na miaka majina kujirudia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…