Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi 8 wapya

Ndugu zangu tuishi kwa kujua hili;maisha hayatakuwa fair kwako;hutakuja kutendewa haki hata kama unaposses extraordinary skills!Serikali na mgawanyo wa keki si lazima ukufikie au ukukaribie.
What you can do is stick on your pace,don't pay your attention and give your time to wanasiasa and the so called government unless you are among the beneficiaries!
 
Waislam watano (5) na wakristo watatu (3) ngoja amalize kipindi chake cha mpito, hii ni kusudi tu ili kuleta public debates as spinning for public deviations.
Wangechaguliwa wakristo wote 8 kwako binafsi na kwenye ukristo kungekuwa na faida Gani?
 
Ulipaswa kuanza kujiuliza kwanini marais wote wakristo wamefariki kwa vifo tata.?

Mkapa na Magufuli vifo vyao vimefuatana.

Waliobakia wote waislamu...

Ukiuliza utaishia kuitwa mchochezi.
 
Waislam watano (5) na wakristo watatu (3) ngoja amalize kipindi chake cha mpito, hii ni kusudi tu ili kuleta public debates as spinning for public deviations.
Rafikiangu hizi ni fikira dhaifu sana. Hivi nani alikwambia dini ya mtu huwa ina impact kwenye maisha yeyote? Siku ukineemeka kwenda mbinguni kawaulize nabii Eliya na Danieli wao kama mtu 1 wasio na dini yeyote isipokuwa wenye Mungu (wa kweli) mioyoni mwao waliwezaje kubadili mifumo yote ya Serikali za Israeli na Babeli zilizokuwa na wenye dini maelfu kwa maelfu?
 
Mwanajeshi wanampeleka wapi? Au kuna msukule Bundi analeta shida?
Ofisi za ubalozi 80% ni Askari, TISS, JWTZ au Polisi.

Ubalozi ni pamoja na USHUSHUSHU kiongozi wangu.
 
Waislam watano (5) na wakristo watatu (3) ngoja amalize kipindi chake cha mpito, hii ni kusudi tu ili kuleta public debates as spinning for public deviations.
nchicho ulichokiona. Hao wakristo wangewekwa watakusaidia nini. Fanya shughuli zako hizo ni akili za kimaskini. Umejaa roho ya chuki na ubaguzi utaishi kwa shida sana
 
Mataahira yalikuwa yanamlaumu hayati kwamba anateua sana wajeda, sasa hiki nini?
 
Wataletwa wavaa barakashia, wee subiri uonee hapoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbna waislamu ndo wanaongoza kwa wizi, utapeli, ubadhirifu etc.
 
Aiseeeeee !!!

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…