Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Alijipangia? Ofisi haina muundo wa scales za mishahara na posho? Ofs haina board inayoamua hayo?

Hakuna ofs ya serikali inayojiendesha kiholela hivyo.Lazima iwe na necessary instruments including hizo zinazoeleza maslahi ya mtumishi wa kwanza hadi wa mwisho.

Kwamba amejipangia seriously haiingii akilini, Bodi ilikuwa wapi?

Anaanzaje tu atoke huko CBA aje ajipe lishahara na marupurupu!!
 
Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.

Huyu mama sijui hata anawaza nini
Yupo kwenye mapambano makali na Maiti.

Na anarusha ngumi kwelikweli.
 
mtu aliyefanya aibu zote HIZO ikiwa ni pamoja mauaji ya vifaranga visivyo na hatia. Nashauri kumbukizi yake ya mwaka mmoja iwe na slogan ya UKOMBOZI KUTOKA KWENYE AIBU
 
Kumbe mnajua leo kuwa Katiba ni Muhimu?
Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.

Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
 
Huyu aliyetoka amefanya nini?
 
Ni dharau na matusi makubwa kwa wenye akili na uelewa but nafikiri kwa watanzania hii ni kawaida kwao..teuzi zenye lengo la kulinda maslahi ya kikundi kidogo cha watu meanwhile mamia wanateseka..hao wote waliorudishwa hawana extraordinary credentials ambazo watu wengine hawana..walichonacho ni sifa ya wizi na ufisadi ambazo ni sifa kuu ya uteuzi wa utawala huu..but ni tanzania unategemea nini..acha inyeshe.......
 

Mchechu aliondolewa kwa chuki tu za Mwendazake. Kama alikuwa mwizi au fisadi mbona hakufikishwa mahakamani?
 
Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.

Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Jakaya alimtia mchechu marekani huko kuja kuendesha nhc kwa mtazamo mpya,aliwaleta wengi tu hivyo Kama mbarawa,mhongo nk...yule mwenye roho ya kimasikini/mbaya akaleta ghil a zake baada ya kushika hatamu
 
Ila kinachotengenezwa ni kibaya zaidi kuliko kinachotarajiwa.

TISS kaeni chini msaidieni mama.. na muwe na kumbukumbu.

Taifa linapotea hili
 
Tusimlaumu Mama Samia kumteua anayedhani atamsaidia kusukuma gurudumu la maendeleo - ni KATIBA yetu ndiyo inamruhusu kufanya hivyo.
 
Alfanya ubadhirifu gani? Au ni yale yale maneno ya chuki? NHC ilipiga hatua sana kipindo chake. mi naona ana entrepreneurial spirit. Kilichomuondoa NHC kipindi cha jiwe ni mshahara wake tu ambao ulikuwa mkubwa sana. Sikubuki kusikia ubadhirifu alioufanya labda mtu anikumbushe!!!
 
Hakuna laana kubwa kwa taifa hili kupata wazazi waliotuletea watoto laana sampuli ya wewe Bams
 
Ubadhirifu zaidi ya kujenga International airport Chato?
 
Chuki binafsi tu Hakuna mtu aliye fanya kazi nzuri kama Mchechu. Alilipaisha shirika . Litazame hali liliyonayo saiv. Tuache watu wafanya kazi haya mambo ya kuruka na vistory visivyo na mashiko zinasababisha kuokota watu wasio na ujuzi wowote.

Nehemia ni Mtu sahihi sana Muda utakupa Majibu mazuri.

Rais anafanya kazi nzuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…