Rais akupe maelezo wewe kama nani?Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Acha ujinga mkuuKwa hiyo serikali sasa itaenda kuweka garantii ili NHC wakope mabilioni ya pesa kwenye mabenki wajenge apartments ambazo watamuuzia mtanzania myonge kwa milioni 200, na kwa kuwa mnyonge hajawahi hata kuota kumiliki hiyo pesa basi hizo apartments zinabaki kuwa makazi ya popo na kupigwa vumbi daily......huyo ndo mama anaupiga mwingi bhana.
EXPERIENCE matters! tumefeli TANESCO tu mtu aliyezoea vifurushi vya DSTV unamleta shirika ambalo ni national security!
makamba alizingua kamshauri mama vibaya
Bwashee acha kutujumuisha wote kwenye kundi la wezi. Mimi siyo mwizi, nasema tena mimi siyo mwizi; kama wewe ni mwizi basi ujitaje wewe mwenyewe na hao mnaoiba nao.Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi,
Kuna ujinga gani hapo sasa, kaangalie apartment za kule morocco kama kuna watu wanakaa na wakutajie bei yake....Acha ujinga mkuu
Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.
Huyu mama sijui hata anawaza nini
chande alifanya kaz ipi ya Government! DSTV si sawana NGO tu! huifahamu tanesco vizuri wewMkuu unamjua Maharage Chande au wewe ni wale waliomaliza 4 ya 4 ya juzi?
Shughuli iliisha mkuu huwezi kuwaambia nimewatema watu mashuhuri kama wale wanauzoefu katika serikali kwa muda mrefuHivi wale 'kaka wawili wa mama' wameishia wapi? (anko lukuvi na kabudi)
Ndio maana wanaipinga katiba mpya kwani hiyo ndio dawa ya ufisadi wao! Kumbukeni kuwa ni Kikwete huyo huyo ndio aloyesababisha katiba mpya kutopatikana na sasa anamtumia Huyu mama na udhaifu wake kuhakikisha kuwa ile rasimu ya Warioba haihitimishwi!!Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.
Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Kijana tulia. Hili ni Taifa. Inatwa Jamuhuri. Kama umewahi muona Jamuhuri basi sawa ila na taka kuamini Tz sio mali ya mutu ni mali ya JamuhuriNi aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Mpiga kuraRais akupe maelezo wewe kama nani?
Wa kukaa wangetoka wapi na wakati Jiwe aliharibu uchumi? Real estate ilikufa awamu yote ya Jiwe.Kuna ujinga gani hapo sasa, kaangalie apartment za kule morocco kama kuna watu wanakaa na wakutajie bei yake....
Ngumu kumesa...Wengine tulishaelewa kitambo what it meansKijana tulia. Hili ni Taifa. Inatwa Jamuhuri. Kama umewahi muona Jamuhuri basi sawa ila na taka kuamini Tz sio mali ya mutu ni mali ya Jamuhuri
Amevunja Katiba?Mpiga kura