Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Wanajenga nyumba kama Kota za jeshi wanatakiwa wajenge nyumba zitofautiane ramani ili mnunuzi ajichagulie anayopenda kwanini mijumba yao mibaya tofauti na nyumba zinazo jengwa na watu binafsi
 
Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.

Huyu mama sijui hata anawaza nini
Nahodha nae kapewa ubunge wa mezani,pamoja na kuwa waziri kiongozi na kustaafu, nchi hii ina wenyewe na utasikia kawa waziri,akina Mbarawa nao wamo
 
Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.

Huyu mama sijui hata anawaza nini
Nimeimiss sana ile safu ya maswali magumu ya enzi zileeeeeee . . .
Hii kitu isingepita bila wao kuiblast kweli kweli
 
Mchechi ni bilionea.mbadhirifu kuliko Makonda.
Salary yake ni 40 milioni
 
Wewe peke yako ndo uliaminishwa na kudanganyika. Unataka kusema kila alichosema/kufanya magu alkua malaika kwamba Rais aliefuata baada ya yeye lazma afanye ya magu? Hebu tulizans mwache SSH apange safu yake
 
Patazibwa panapovuja! Usiwe na wasiwasi, yupo makini sana usimchukule poa!
 
Wanatuona kuku wa nyama tu. Unakamata unachinja unavyotaka. Madhambi ya Nehemia yalitangazwa hadharani na Rais TBC pembeni akiwapo Makamu wa Rais ambaye ni Rais kwa sasa. Hawa CCM acha tu!!
Alimpeleka mahakama gani kama alikuwa na ushahidi?

Magufuli alikuwa muhuni na mzandiki aliyejaa chuki huku akijificha kwenye kivuli cha ucha Mungu
 
Umemaliza mawazo yangu mkuu
 
Wabunge wengi ni wa ccm na walipewa ubunge na Magufuli, acha watawabana hawa wezi wanaorejeshwa kwenye mfumo.
Hakuna ushahidi wa wazi ulionesha kuwa Yehemia Mchechu alikuwa mwizi aliondolewa pale NHC kisiasa tu katika Wakurugenzi waliohudumu NHC hakuna mtu aliye fanya mambo makubwa kama Mchechu alifanya reformation kubwa sana katika shirika letu la Nyumba
Hivyo mimi kwangu ni uteuzi mzuri na atamsaidia sana Rais kulifanya shirika liwe bora zaidi
Kiuhalisia lazima shirika liwe na category tatu
Kwanza kuweza kuhudumia wananchi wa chini ambao watakuwa wanufaika kuweza kupata nyumba kwa rahisi

Pili wananchi wenyewe kipato cha kati (Middle Class) ambao hawa wataweza ku afford nyumba za kisasa

Tatu Tabaka la watu wenye uwezo mkumbwa kiuchumi ambayo hawa watakuwa na uwezo wa kupangisha na kununua Apartment za kisasa
 
Mwendazake ndo nani? Huyo muhuni aliyeongozwa na chuki ndo unamsema hapa?
 
Jk is doing his things Chief Hngy is not to blame!
 
Alijenga Singida, Arusha, Bukoba na Katavi

Alivyoondoka Msechu, waliobaki wamejenga wapi?
 
Walivyoondolewa ulipewa sababu? Uliona wakipelekwa Mahakamani?

Kwa nini useme Rais ana udhaifu?

Kwa taarifa yako Samia haongozwi na chuki
Statement zako 2 za kwanza zinamantiki kubwa sana kuna mengi ya kufikirisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…