Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu maza ni kiongozi mbovu snWatu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.
Huyu mama sijui hata anawaza nini
Jina la watafuna nchiYaani unamaanisha kwamba tunaelekea kule ambapo wenye inchi walikuwa wazee fulani fulani. Sasa linakuja group jipya la vijana kama watano wamiliki nchi au siyo? Unadhani hawa vijana tuwape jina gani kwa sasa?
Inabidi fulsa ziwe kwa wote wajameni nimewahi sema hili suala wakati flani watu wakaja juu!Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.
Huyu mama sijui hata anawaza nini
Aiponye wapi kaka??? Kwani hii nchi wasomi ni hao hao tu????Mliaminishwa..
Neno sahihi kabisa. Haikuwa hivyo ila zilikuwa ni chuki kali zilizojaa husda majungu na visasi.
Tulieni hivyohivyo Mama aiponye nchi.
Mama songa mbele. Tuko nyuma yako.
Kikwete kahusikaje hapo? Kwa hilo tu tayari nakuona we tahira unasukumwa na husda juu ya mzee kikweteNi aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika...
Ile katiba nayo zuga, ujinga mtupuNinavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.
Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Tunaongozwa na maboya!Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika...
BafanabafanaYaani unamaanisha kwamba tunaelekea kule ambapo wenye inchi walikuwa wazee fulani fulani. Sasa linakuja group jipya la vijana kama watano wamiliki nchi au siyo? Unadhani hawa vijana tuwape jina gani kwa sasa?
Naona wote Magufuli aliowaondoa Wanarudishwa kwa Kasi kubwaNi aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika...
Ukiona moshi ujue kuna moto.Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.
Huyu mama sijui hata anawaza nini
Tukubaliane Nehemia anaweza! Ana uwezo mkubwa wa kuwaza nje ya kibox akaja na solutions.Nehemia mi najua ni kichwa sana. Roho mbaya tu ya Magufuli alitaka aweke watu wake kila mahali
Hapa kuna udhaifu mkubwa ndani ya utendaji wa serikali ya ccm, huyu aliondolewa kwani alikuwa na kampuni zake zilizokuwa zinafanya kazi na NHC hivyo kuleta mgongano wa kimaslahi! something wrong ktk 'kada' za uteuzi.Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.
Tuwekee hapa records za utendaji wake ili twende sawa. Alifanya lipi na lipi linaloonekana.Tukubaliane Nehemia anaweza! Ana uwezo mkubwa wa kuwaza nje ya kibox akaja na solutions.
Kipindi kile labda hakuwa kwenye boat ya mtawala
Ubunifu upi? Overpriced Kawe na Morocco projects?Sifa kuu za msechu ni
1, uthubutu
2, ubunifu
Naona dr maulidi banyani anaiacha salary ya tshs 13,000,000/= kwa mwezi na anarudi ardhi university kwenye lectures za tsh 3,400,000/= kwa mwezi.Dah maisha ya siasa ni kama gwaride.Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika...