Kamanda mbona mama amewachefua mapema?Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Kufikiria kwamba watu wote wanaweza kuwa na mawazo yanayofanana ni upumbavu uliotukuka.Wewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.
Halima bulembo ni mrembo haswaaaUlichoumia ni wale wafuasi wenu wa zamani kupewa vyeo hamna lingine.
Bora hivi vyeo vifutwe kabisaInasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Ester Mahawe ni F4 lakini kawa DC anaenda kuongoza watu na degree zaoSio majaribio tutajuaje kama anaweza bila kumpa nafasi, binafsi naona kama mtu anaelimu inayokidhi vigezo apewe nafasi.
Kwi Kwi KwiMama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Joketi kaweza kipi .Watu wa kisarawe wengi wao ni wakulima Bora kama angewasaidia kupata masoko ya mazao yao hapo tungeona kaweza.Eti mnadai kajenga shule .sasa kama ni shule mbona zimejengwa nchi nzima.nachokiona kwake anabebwa na midia tu ,Hana ubunifu wowote.Wasanii nao ni watanzania, wapewe nafasi waonyeshe vipaji vyao mbona Jokate ameweza, tuwe wavumilivu tumor mama nafasi afanye kazi
Sasa Kama vigezo wanavyo kwa Nini wasiteuliwe na ukiangalia hao wasanii Elimu zao nikuanzia ngazi ya shahada(degree) na huyo Niki tena Ana degree mbili sizani Kama kakosea acha vijana tuneemeke na huu uongozi acheni kutukunjia Sana [emoji23][emoji23][emoji23]Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Ni sawa lakini ndo wachukuliwe watu from nowhere? Haya ni maajabu ya aina yake.Mkuu wa Wilaya ni cheo Cha kisiasa tu na Cha kikoloni, kazi wanayo wakurugenzi na ma Dad...
Ifike mahali tuwe na vigezo vya vyeo vyote hata kama ni vya kuteuliwa, tunazidi kurudi nyuma kila mtawala anayeingia wamuige the late Mkapa ambaye hakupenda uteuzi. Tuwe na proffesionalism kwenye teuzi au watu waombe. Vyuo alivyofungua Mwalimu Nyerere kwa ajili ya viongozi tumeviacha tunategemea unyenyekezi na kusifia viongozi ili uteuliweInasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Hao wanao left ndio walisomea udc?Mama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Wacha hizo, Ronald Reagan alikuwa mcheza filamu, akawa gavana wa Calfornia USA badae akawa Rais Arnold Shwarzneger alikuwa mcheza body builder, akaenda kucheza sinema, akawa gavana wa Calfornia jimbo ambalo kama lingekuwa nchi, lingekuwa the 6th richest nation duniani, na rekodi yake ilikuwa nzuri sana! Rais wa Ukraine ni mcheza komedy kama Mpoki lakini nchi iko stable licha ya ubabe wa Urusi! Jokate amefanya vizuri Kisarawe! Mbona watumishi wa umma, wasomi wazoefu kama Hapi, Kasesera, Chalamila, Odunga nk hovyo kabisa! Kaka Uongozi ni karama, dont judge a book by its cover! Kwa mfano mimi simuoni Nikki wa pili akishindwa uDC hata kidogo pamoja na usanii wake! Be +ve kaka wacha tuwape stage wanaweza kutusogeza mahali, usivunjike moyo sana kwa sababu Sabaya kaharibu!Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Nani alikwambia uDC ni taaluma?!Nafasi wapewe lakini sio ukuu wa wilaya. Wanaelewa nini kwenye utumishi na ulinzi na usalama.
Ila kweli jmn Niki wa pili na Pascal si mara elfu Pascal jmn
Kwa hili nakuunga mkono. Naona ameteua team ya kampeni yake 2025 badala ya madcInasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Msukuma asihukumiwe kisa ni darasa la saba, ana brains nyingi sana jamaa..Nchi hii bado Sana angalia wabunge bungeni hakuna kitu yani tumetoka kuwa na wabunge Aina ya kina mrema utawala wa mkapa mapka Kuja kuwa na wabunge Aina ya msukuma na utawala wa Magufuli na sasa Samia.
Ukuu wa wilaya tumetoka kuwa na ma-DC aina ya mzee Twalib "ulimwengu" nyakati hizo mpaka Kuja kuwa na ma-DC wapya Aina ya Niki wa pili huu Kama si upumbavu ni nini.
Tanzania bado Sana Sana tu