Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Unakuta Mweusi mwenye pesa magari 60 ya kutembelea, nguo za gharama, nk. Lakini mweupe mfano Mchina yupo simple tu na ni tajiri tena mnalala wote site.

Cheki ushamba wa mayweather, Tyson, rockross na wasanii kibao, nini sasa kuonyesh mapesa Ili iweje sasa. Lakini huwezi kuta mwanamziki mweupe au tajiri Mzungu analimbuka na pesa.
Hacha zako kuna wasanii kibao wakizungu malimbukeni unamjua tekash wew

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kama tuna behave kama sokwe utasemaje! Tunapewa msaada wa vyandalua na kuchimbiwa vyoo! Inafikirisha sana.
Katika karne hii ya 21 ambapo watu wanafikiria kuenda kuweka makazi sayari nyingine ila bado jamii ya mtu mweusi wanategemea mzungu atoke ulaya kuja kuwajengea choo. Amazing stupidity

Kuna vyuo vya afya vyenye miongo kadhaa kwenye hili bara vinavyotoa wahitimu kila mwaka lkn malaria tu inatusumbua mpk tusubirie msaada wa Bush.

Screenshot_20220914-212345_Gallery.jpg
 
Tufanyeje sasa kujikomboa??
Tutoke kwenye jadi, Twende kwenye ubinadsmu,wao wazungu hawaja wekeana mipaka mifumo ya kuishi mfano kwenye kuvaa, kwenye urafiki, wao kufanya mambo hakuna umri mfano hakuna nguo za vijana wala watu wazima utakuta mwanamke mwenye miaka 60 ana vaa sawa na msichana wa miaka 19, na kwenye maongezi vile vile hakuna maongezi ya vijana na watu wazima, Yani unaweza kuonana mzungu ana miaka 70 na ukawa huru kwenye kupiga stori za vijiweni na hasi kushangae.
 
Nyie mlio ingudua hiyo historia ya mwafrika mpaka Sasa mmeleta mageuzi gani ya kisiasa, kijamii,kiuchumi,kielimu, kisayansi na Teknolojia ?

Cha kushangaza ni kwamba Babu aliweza kutengneza Mapiramidi Misri ambayo mpaka Sasa imekuwa shida kujua hesabu zake lakini mjuu hata kutengeneza soksi,kijiko, hawezi si mambo ya ajabu aya

Ujinga wetu ndo umetufanya tuwepo hapo na kufeli kwetu mwisho tumekuwa tunatoa lawama kwa watu ambao sio kabisa ooh mabeberu alafu hao hao ndo wanakuja kuleta pesa za kujenga matundu ya choo mashuleni ndani ya miaka 60 ya Uhuru tunashindwa kujenga matundu ya vyoo na hili tuseme sababu ya historia kufichwa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
"Cha kushangaza ni kwamba Babu aliweza kutengneza Mapiramidi Misri ambayo mpaka Sasa imekuwa shida kujua hesabu zake lakini mjuu hata kutengeneza soksi,kijiko, hawezi si mambo ya ajabu aya"

Wahandisi wa Misri walikuwa ngozi nyeusi?

Misri ni nchi ya ulaya iliyopo Afrika.
 
Wazungu huwezi kuwa tambua msomi na hasiye msomi, Viongozi waki zungu tofauti na Viongozi wetu waki Tanzania, nilifanyaga kazi sekta ya utalii, utakuta kiongozi mzungu ni katibu mkuu au mkurugenzi au waziri uko kwao lakini akija holiday Tanzania huwezi jua kama kwao ni viongozi wakubwa, Tunaongea nao tunacheka tuna piga story kibao na ukiitaji mfano maji ya kunywa anaenda bar kukuchukulia na kukuletea mpaka unashangaa yani huyu mgeni kiongozi mkubwa anafata maji na kuniletea, Sasa kimbembe viongozi wetu wakija hoteli wapo siriasi kumbe hawana lolote kichwani yani viongozi wetu washamba sana yani siyo vijana wala wazee.
Mkuu japo ni mambo madogo,lakini yasema mengi! Hii culture ya ubosile sijui tumeipata wapi! Niliwahi kumpokea Mwamerika mmoja Airport Dar, alikuja na Private jet, kwa miaka hiyo alikuwa ni Tajiri dunia wa 23!

Alikuwa simple mno! Yeye na mkewe! Sikuona ma gold chains! Yeye alikuwa na sandals na kaptula.

Alisaidia kuingiza mizigo yake ndani ya gari na kuishusha tulipofika hotelier.
Kwa kifupi ndio alikuwa anafadhili NGO niliyokuwa nikifanya kazi, sio Tanzania bali ulimwenguni.

Kwa kifupi ndio aliyekuwa akiniweke mjini!
He was down to earth...nilijifunza kitu kikubwa mno!
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Hii ilitakiwa iingie kule SoC kabisa, ni kweli weusi tumepunjwa ila watanzania tumedhurumiwa zaidi
 
Katika karne hii ya 21 ambapo watu wanafikiria kuenda kuweka makazi sayari nyingine ila bado jamii ya mtu mweusi wanategemea mzungu atoke ulaya kuja kuwajengea choo. Amazing stupidity

Kuna vyuo vya afya vyenye miongo kadhaa kwenye hili bara vinavyotoa wahitimu kila mwaka lkn malaria tu inatusumbua mpk tusubirie msaada wa Bush.

View attachment 2357065
Habib tuna safari! Ni mzungu kweli wa kulaumiwa kwa hilo?
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
True
 
Akili za waafrika kupata watoto ,mapenzi na uthenge mwingi kujiona mjanja na ushamba kibao ... waafrika tuko limited sana katika kutimiza malengo yetu leo kadada ka watu kametoka Maisha ya umaskini kana kipato kinajengea kwao kwanza ila kuendelea na Maisha yake wanakiforce kiolewe kiwe na mtoto huoni ni majukumu mawili wakati mmoja? Ilihali anaweza kujenga na kuja kuolewa baadae na kupata familia akaanza Maisha yake !

Sisi tuko limited katika kufanya maendeleo yetu wachache wanalitamvua hili na kuwa bussy na malengo yao ndo wanafika mbali ,ni Africa pekee kijana mdogo hana sustainable sources of income ila ana majukumu kibao ya kifamilia mara kidemu chake vitoto vidogo vinaota vipara na kutoka mvi na kufubaa kama wazee
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Mwenye upungufu wa akili maana yake hajitambui/chizi nafikiri ungefaa kuomba radhi waafrika ukianza kujiomba wewe mwenyewe kwasababu nakuona una akili lakini tofauti ni mtazamo juu ya maisha walimbukeni wapo wa rangi zote na kabila zote kwani hata kitendo tuu cha ubaguzi ni ujinga haswa, ukiona wazungu wachache waliostaarabika basi usifikiri wao ni bora kuliko sisi.

Pia tatizo labda useme wenye busara wengi hawana nguvu ya kuleta nmabadiliko hapa Afrika hapo nitakuelewa
 
Alietuumba alikuwa na mpango huu sisi tuwe watumishi wa watu weupe tufanye kazi mashambani na viwandani na ndo maana unaona tumeumbiwa mwili wenye nguvu na unahimili hali zote mbaya

Ila baadae hao watu weupe walijichanganya wakaenda kinyume na alietuumba wakatupatia elimu na wakaanza kupigania haki zetu
Exactly..
Why members hawakutilia mkazo kwa ulichokiandika!!.
 
Akili za waafrika kupata watoto ,mapenzi na uthenge mwingi kujiona mjanja na ushamba kibao ... waafrika tuko limited sana katika kutimiza malengo yetu leo kadada ka watu kametoka Maisha ya umaskini kana kipato kinajengea kwao kwanza ila kuendelea na Maisha yake wanakiforce kiolewe kiwe na mtoto huoni ni majukumu mawili wakati mmoja? Ilihali anaweza kujenga na kuja kuolewa baadae na kupata familia akaanza Maisha yake !

Sisi tuko limited katika kufanya maendeleo yetu wachache wanalitamvua hili na kuwa bussy na malengo yao ndo wanafika mbali ,ni Africa pekee kijana mdogo hana sustainable sources of income ila ana majukumu kibao ya kifamilia mara kidemu chake vitoto vidogo vinaota vipara na kutoka mvi na kufubaa kama wazee
Definitely.
 
Habib tuna safari! Ni mzungu kweli wa kulaumiwa kwa hilo?
Hakuna mwingine wa kulaumiwa bali ni sisi wenyewe. Ukifikiria sana haya mambo utakufuru kama wewe ni mtu wa dini. Kwa nini afrika iko hivi!?

Story za afrika na waafrika ni phenomenal sana. Tupo kwenye dunia ya peke yetu.

Mfano. Mkoloni anaondoka hapa alitupa kbs head start. Alituachia miundombinu karibu nchi nzima i.e. reli, mashamba makubwa kila kona sio kahawa chai katani pamba etc mashule, miji aliyokuwa kaanza kuipanga vzr japo ilikuwa midogo, maviwanda ya kila aina etc etc. Leo viko wapi!? Tungeanzia palepale alipoachia tukaendeleza vzr leo hii si afrika tungekuwa kama south korea tu!?
 
Ukiwa unamaanisha nini haswa? Wacha ulimbukeni. Kwani kuvaa magome ya miti ni dhambi? Kiuhalisia sio lazima mtu kuishi uwe na umeme, sio lazima kuwasiliana na simu ya mkononi, Usafiri....unajuwa horsepower?
Usionyeshe ulimbukeni namna hiyo ndugu yangu.

Irrelevant. Sorry for your loss.
Not irrelevant but practical...anyway tusubiri kujengewa vyoo na kupokea vyandalua! Maybe that is relevant!
 
Hakuna mwingine wa kulaumiwa bali ni sisi wenyewe. Ukifikiria sana haya mambo utakufuru kama wewe ni mtu wa dini. Kwa nini afrika iko hivi!?

Story za afrika na waafrika ni phenomenal sana. Tupo kwenye dunia ya peke yetu.

Mfano. Mkoloni anaondoka hapa alitupa kbs head start. Alituachia miundombinu karibu nchi nzima i.e. reli, mashamba makubwa kila kona sio kahawa chai katani pamba etc mashule, miji aliyokuwa kaanza kuipanga vzr japo ilikuwa midogo, maviwanda ya kila aina etc etc. Leo viko wapi!? Tungeanzia palepale alipoachia tukaendeleza vzr leo hii si afrika tungekuwa kama south korea tu!?
Tulikula mpaka mbegu! Na Mzee mstaafu, kila mara alikuwa anasema mkoloni hakuwa mbaya kama tunavyoaminishwa! Sikuwa namwalewa, lakini baadaye nikatambua alikua na point! Kuna mambo baada uhuru tulifanya ujinga mno!
 
Wewe unafikiri ule weusi umekuja kimchezo mchezo .......akili za MTU mweusi Imebaki kwenye rangi yake.....maana wakati tunapakwa rangi tuliambiwa tutulie tusipakwe rangi nyingi .....Sisi SASA tuko busy na kujiangalia kazi kusema yangu haija kolea paka tena .....ona wazungu walipakwa mkono mmoja Tu SASA hivi ni balaaa
 
Back
Top Bottom