Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Yani tuna matatizo sana nyeuthiz.

Mfano mdogo tu humu jamvini, mtu akiweka uzi kukandia wizi wa watumishi, anaonekana mnoko, mbaya mwenye wivu, sasa watu wa hivi ndio wamejaa kwenye utumishi na uongozi, kama mtu anatetea uovu na kuona uovu ni jambo safi tutapiga vipi hatua kimaendeleo kwa jamii hii iliyojaa ubinafsi🤔
 
Udongo uliotumika kumuumba binadamu rangi yake ni nyeusi au nyekundu, imekuwaje tupunjwe kiakili? Huenda binadamu halisi ni Mwafrika ila Wazungu walishuka kutoka anga za juu (aliens". Kulingana na maujanja yao wakatudanganya na imani zao nasi tukaitikia "ndio Mzee" bila hata kuhoji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muafrika hana akili ndogo Ila ile yale mamia ya miaka ya utumwa, ukoloni na bado huu ukoloni mamboleo ambao walio juu yetu wanaukumbatia. Itachukua mamia ya miaka kuuondoa ili kupata generation mpya ya waafrika walio huru kama wale ambao hawakuathiriwa na vitu nilivyovitaja hapo juu
Asia pia walitawaliwa na wengine tulikaribiana kiuchumi miaka hiyo iweje sisi hatubadiliki?
 
Sema kuzaliwa Africa nao ni mtihani mkubwa sana aiseeView attachment 2356252
JamiiForums1077282219.jpg
 
Asia pia walitawaliwa na wengine tulikaribiana kiuchumi miaka hiyo iweje sisi hatubadiliki?
Ukisoma Asian tigers economies utaelewa kwa nini zilikua kwa kasi Ila kwa huku Africa kikubwa ni uongozi mwingi ulioingia baada ya ukoloni bado ulikuwa unaendeshwa na watu wa nje

Ukiangalia nchi zilizokaa vizuri kama Botswana na libya, utaelewa hii concept nzima
 
hoja nzuri!

ila nadhani sio kuwa tumepunjwa akili. kwa bahati mbaya mifumo yetu ya zama za kale, sio utawala sio uchumi, yote imeuliwa na mkoloni.

cheki hii video, inaweka shida zote tulizonazo kama waafrika sehemu moja! kwa bahati mbaya, hatuna ujanja kukwepa pia, hio ndio shida kubwa!

kiukweli sisi Waafrika tupo vizuri na wabunifu sana sema kwa muda mrefu utawala wa kikoloni umeturudisha nyuma mno! na katika mifumo mipya, baadhi ya waafrika wenzetu wanaendeleza mifumo ya kikoloni na bahati mbaya zaidi, pesa ilipoingizwa kwenye mfumo wa malipo duniani ndio kabisa waafrika wamepotea kwenye chati. ila siri kubwa ya mafanikio ya mwaafrika ni kwenye kilimo. sisi ndio wenye ardhi ambayo tunawezalisha dunia lakini vipingamizi ni vingi hasa lugha na sayansi inayotumika katika uboreshaji ni chenga sana.

kuna mambo mengi Waafrika wamegundua alafu sifa zinaenda kwa mtu mweupe! bahati mbaya kwenye michezo hamna jinsi ya kumpokonya Mwafrika sifa na juhudi zake kwani zinaonekana na ndio maana sehemu kubwa hapo kwenye michezo tuna shine sana!

swala la maendeleo, uongozi yote hayo ni mifumo iliyowekwa na mkoloni. mkoloni akiona kuna mweusi anakipaji kuliko wenzake basi sifa nyingi na kumpelekea dada/kaka yetu kuleta dharau. iwe kwenye elimu ama kipato...

kiufupi, mkoloni ilibidi akae chini afikiria njia nyingine ya kututawala ambapo kaneno "uhuru" katatumika. ni wachache waliogundua na ndio kama tunavyojua, hao hua hatukai nao muda mrefu (naongelea janga linalokumba bara la Afrika hapa)!

tumepotea SANA ila ipo siku atatokea MTU ambaye atajaribu kufanya mageuzi "at a great cost" kama wenzake ila atasikika ulimwengu mzima!
 
Usijiamini na ID fake kumbuka ni mkuu wa Nchi hata mimi nina machungu yangu na viongozi ila siwezi kufikia hatua kama yako coz ni muhimu kulinda heshima ya mtu anayeheshimika na wengi.

Na kuna watu wapo tayari kwa lolote lile ili kulinda heshima yake hata kama bila malipo.
Je trump alipo sema ...au akisema trump ni sawa ila mimi ndiyo nikisema nimekosea ..au umesha sahau huu uzi unajadili nini ? Huu uzi unajadili kuhusu waafrica wote wakiwemo waarabu koko kama wewe na marais wote acha uzuzu wewe pimbi.
 
Mbona Jay Z, Beyonce, Rihanna, Dr Dre hawalimbuki na pesa mkuu?
Unakuta Mweusi mwenye pesa magari 60 ya kutembelea, nguo za gharama, nk. Lakini mweupe mfano Mchina yupo simple tu na ni tajiri tena mnalala wote site.

Cheki ushamba wa mayweather, Tyson, rockross na wasanii kibao, nini sasa kuonyesh mapesa Ili iweje sasa. Lakini huwezi kuta mwanamziki mweupe au tajiri Mzungu analimbuka na pesa.
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Miafrika ndivyo tulivyo.
 
Usichanganye mambo ngosha,ulinzi wa mkurugenzi sio sawa na ulinzi wa mkuu wa nchi, Waziri mkuu wa Japan aliuwawa kwa uzembe wa walinzi, makamu wa Raisi wa Argentina, chupu chupu auwawe kwa risasi, bunduki Ika goma.
Kuna watu humu Jf wameanzisha tabia ya kuwatukana watu weusi bila sababu, sijui ndio kuondoa stress zao binafsi.
 
Usichanganye mambo ngosha,ulinzi wa mkurugenzi sio sawa na ulinzi wa mkuu wa nchi, Waziri mkuu wa Japan aliuwawa kwa uzembe wa walinzi, makamu wa Raisi wa Argentina, chupu chupu auwawe kwa risasi, bunduki Ika goma.

Diamond hawezi kutembea bila walinzi, huku kwetu wanaotka kumzima ni wengi, hata boss wa Facebook,Trump, Dangote, Mo dewji wote wana walinzi. Kama mtu binafsi na vipesa vyake vya serikalini, anajenga fence kubwa,waya za umeme, mbwa wakali,bstora ndani, sembuse mtu mwenye mapesa yake.
Sawa kabisa,na hao walinzi je? Wanalindwa na nani??
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Kwa kifupi
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Kwa kifupi kwa mtu yoyote anafikiri hukosi kujiuliza swali hilo.
Kwa nini mababu zetu hawakupanda Melissa kwenda kutawala Ulaya?
Kwa nini mababu zetu walishindwa kuwafyekelea mbali wazungu wa kwanza walipoongia bara la Africa?

Kwa nini viongozi wetu wa Africa na kusoma kwao kote bado waliongia katika ubadhirifu wa hali ya juu, na kukubali kufuata matakwa ya wazungu Yasin na tija na kuifanya Afrika iwe nyuma!!
Kuna maswala mengi mno ya kujiuliza!
 
Back
Top Bottom