Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss
Kwahiyo kukataa kuitwa "boss" na kutokuwa na walinzi tayari ndio kipimo chako cha wazungu kuwa na akili kuliko waafrika?
Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.
Umeiona ile video yake jinsi alivyointeract na watumishi wake? Mitandaoni imezungumziwa sana. Angefanya vile mtu mwafrika angetukanwa sana na watu mfano wenu.
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Hao Waafrika unaoishi nabkukutana nao wakoje?Umewahi kukutana na mimi?Tulia.Bado haujakutana na watu.
 
Umewahi kumuona Bill gate akitembea na mabaunsa? Acheni ulimbukeni na ushamba aisee
Kwahiyo upo hapo unaamini kabisa kuwa Bill Gates hana walinzi? Yaani katika nchi ambayo bunduki nje nje Bill Gates asiwe na walinzi?


Au shida yako ni "mabaunsa"?
 
Angalia hata football players utacheka 🤣🤣 wakishuka kwenye BUS au ndege au mitaani, mara huyu kavaa earphones mara mahereni n.k, wengine wanamiliki magari ya kifahari 🤣🤣🤣 ushamba ni mzigo mammae

Upande wa singers/wasanii, mara huyu kakuvalia mahereni, mikufu, mabangiri, earphones/Headphones, buti kubwa wakati yeye anavaa size ndogo, magari ya kifahari n.k🤣🤣🤣 ni ulimbukeni na ushamba/mashkolo mageni bhabhaa
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Sitaki kukubaliana na ww ila kwa hoja yako nashawishika kukubaliana na ww,huku msanii akishatoa single tuu mabodigadi wa kutosha
 
Ukisoma Asian tigers economies utaelewa kwa nini zilikua kwa kasi Ila kwa huku Africa kikubwa ni uongozi mwingi ulioingia baada ya ukoloni bado ulikuwa unaendeshwa na watu wa nje

Ukiangalia nchi zilizokaa vizuri kama Botswana na libya, utaelewa hii concept nzima
Mkuu kuna mambo madogo sana ngazi ya chini kabisa kuanzia level ya familia, unaona kabisa watu namna ya watu wanavyoishi na kutenda, wewe unaangalia juu ila hata huku chini kabisa hali za hovyo, je na watu familia zao zinaongozwa na mataifa ya nje😂

Turawasingizia tu hawa wakina pua ndefu, ila tatizo kubwa kuliko yote ni ubinafsi.

Kila mtu anawaza kuiba iba, siku tukiacha ubinafsi waafrika tutapiga hatua kubwa sana.

Ubinafsi una maana pana na kubwa.

Usipokua mbinafsi huwezi kufanya mambo haya.

-Huwezi kutoa wala kupokea rushwa
-Huwezi kuwa na upendeleo kwa ndugu na jamaa
-Huwezi ingiwa na tamaa za kuiba iba
-Huwezi kung'ang'ania madaraka
-Ni rahisi kuwajibika pale unapokosea.
 
Screenshot_20220914-100242_Twitter.jpg
Screenshot_20220914-100131_Twitter.jpg


Huyu alijaribu kuibua huu mjadala katika ngazi za juu kabisa watu hawakutaka kumsikiliza kabisa
 
Mtu mweusi ndio chimbuko na asili ya hii dunia, kiasili ndiye aina ya binadamu bora zaidi ya aina zote za binadamu, tatizo ndiye binadamu mbinafsi zaidi mwoga na kwenye kuridhika Kwa jambo Dogo tu pia asiyetafakari mbali.
[emoji23][emoji23] yaani umeanza vizuri tu ila umeharibu
 
Unakuta Mweusi mwenye pesa magari 60 ya kutembelea, nguo za gharama, nk. Lakini mweupe mfano Mchina yupo simple tu na ni tajiri tena mnalala wote site.

Cheki ushamba wa mayweather, Tyson, rockross na wasanii kibao, nini sasa kuonyesh mapesa Ili iweje sasa. Lakini huwezi kuta mwanamziki mweupe au tajiri Mzungu analimbuka na pesa.
Mbona Mark Zuckerberg ana magari mengi tu?
 
Back
Top Bottom