Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

View attachment 2356306View attachment 2356307

Huyu alijaribu kuibua huu mjadala katika ngazi za juu kabisa watu hawakutaka kumsikiliza kabisa
Ukweli unauma! Inabidi ukubali Mwenyezi Mungu aliumba Africa race kuwa katika kiwango cha chini, au kwenye evolution waafrika bado tuko kiwango cha chini kwenye mfumo wa evolution.

Uwezo wetu wa kufikiri na kubuni ni mdogo mno!
Nadhani kwenye process ya evolution tulikomea kungundua moto, sana sana akili zetu bado ziko stone age, hata Iron age tulianza kuingia ndio mzungu akatokea.

Maana kama tungeingia Iron age, waafrika tungekuwa na silaha za kumzuia kututawala.
Miaka 60 toka kwa mkoloni na kutupa elimu bado ni kama tuko bado mapangoni.
Intellect yetu imekwama!
 
Mtu mweusi ndio chimbuko na asili ya hii dunia, kiasili ndiye aina ya binadamu bora zaidi ya aina zote za binadamu, tatizo ndiye binadamu mbinafsi zaidi mwoga na kwenye kuridhika Kwa jambo Dogo tu pia asiyetafakari mbali.
Ila nafikiri wabongo ndio tunaongoza kwa kupunjwa akili ,maana nchi ina kila kitu lakini wananchi hatuna kitu
 
Jamaa kaandika ukweli,
Nina kijikazi flani cha kawaida,uzuri nafanyia mbali na makazi yangu,
katika mavazi yangu sina vazi la suti,maana siyo lazima ktk kazi hiyo.

Mtaani navaa kawaida sana,lakini sasa kuna mtu aliwahi anzisha ubishi eti huyu hafanyi kazi falani kama tunavyoambiwa,mbona hatukuwahi muona kavalia vizuri!

Na kwa kiasi kikubwa unamkuta mtu kajitutumua na vijinguo nguo flani eti ili aheshimike,kumbe kichwani holaa!

Imefika hatua mwafrika/Mtazania anahusishwa na kundi flani la juu kisa tu mwonekano!! Shame Africans!!
 
Unakuta Mweusi mwenye pesa magari 60 ya kutembelea, nguo za gharama, nk. Lakini mweupe mfano Mchina yupo simple tu na ni tajiri tena mnalala wote site.

Cheki ushamba wa mayweather, Tyson, rockross na wasanii kibao, nini sasa kuonyesh mapesa Ili iweje sasa. Lakini huwezi kuta mwanamziki mweupe au tajiri Mzungu analimbuka na pesa.
Im shook with how you think, inaoneka hujui nini maana ya pesa.

So unatafuta pesa ili ulale site?

Unatafuta pesa ili uvae mitumba?

Unatafuta pesa ili upige nyeto? kwamba unaogopa ukidate a beautiful lady utaambiwa unahonga.

Rick ross / mayweather hawakutoka kwenye Rich families, wamejitafuta paka walipofika hapo, so kuflex ni lazima kwa mwanaume yoyote aliyepata pesa kwa jasho na damu na anayetaka kuwa remarkable, yaani umepambana afu ubaki low key! Kwa faida ya nani? maybe if you want to be some stupid and Average guy.

Kwa dunia ya leo, kuflex kunaAttrack the like minded men, vitu kama strong network na mengine mazuri yanakuja humo, kaa lowkey uzeeke na kipaji chako kama King kiba [emoji3]
 
Alietuumba alikuwa na mpango huu sisi tuwe watumishi wa watu weupe tufanye kazi mashambani na viwandani na ndo maana unaona tumeumbiwa mwili wenye nguvu na unahimili hali zote mbaya

Ila baadae hao watu weupe walijichanganya wakaenda kinyume na alietuumba wakatupatia elimu na wakaanza kupigania haki zetu
 
Sidhan kama tatizo ni elimu je hao wanaozaliwa huku America na kwingineko ulaya unataka kusema mitaala yao ya elimu ni kama hii yetu?[emoji848]
Uko kwengin waliharibiwa na ubaguz wa rang na wengin hawan elimu kbs sio kila walioko America ama ulaya ni wasomi
 
Im shook with how you think, inaoneka hujui nini maana ya pesa.

So unatafuta pesa ili ulale site?

Unatafuta pesa ili uvae mitumba?

Unatafuta pesa ili upige nyeto? kwamba unaogopa ukidate a beautiful lady utaambiwa unahonga.

Rick ross / mayweather hawakutoka kwenye Rich families, wamejitafuta paka walipofika hapo, so kuflex ni lazima kwa mwanaume yoyote aliyepata pesa kwa jasho na damu na anayetaka kuwa remarkable, yaani umepambana afu ubaki low key! Kwa faida ya nani? maybe if you want to be some stupid and Average guy.

Kwa dunia ya leo, kuflex kunaAttrack the like minded men, vitu kama strong network na mengine mazuri yanakuja humo, kaa lowkey uzeeke na kipaji chako kama King kiba [emoji3]
Tofautisha ulimbukeni na kutumia pesa,mfano bongo msanii anapewa ya kubadili mboga mabodigadi 20 hivi nani ana shida diamond au hamonize au nabii au mtume wa mabodigadi hadi madhabauni, huwezi kuta mitume na manabii feki wazungu wamejaza mabodigadi.

Waafrika ndo watu wa show off sababu ya easy come easy go thus hawana uwezo wa kurithisha utajiri kizazi hadi kizazi tofauti na weupe.

Hao wapambe aliokuwa anatembea nao Tyson wakati ana pesa wapo wapi siku hizi.
 
Tofautisha ulimbukeni na kutumia pesa,mfano bongo msanii anapewa ya kubadili mboga mabodigadi 20 hivi nani ana shida diamond au hamonize au nabii au mtume wa mabodigadi hadi madhabauni, huwezi kuta mitume na manabii feki wazungu wamejaza mabodigadi.
Waafrika ndo watu wa show off sababu ya easy come easy go thus hawana uwezo wa kurithisha utajiri kizazi hadi kizazi tofauti na weupe.
Hao wapambe aliokuwa anatembea nao Tyson wakati ana pesa wapo wapi siku hizi.
Hautakiwi kuwa na opinions kwa vitu usivyovielewa.

Sio kila mwenye bodyguard anataka ulinzi, wengine ni kwa ajili ya kuflex ( being perceived of high value) watu wapay attention pale wanapokuona, we live in an attention economy nowadays, the more people pay attention to your life, the more you get money, watu wanaMONETIZE attention. Jifunze kwa Kadarshians/ Diamond platnumz.
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Naunga mkono hoja...huu ni ukweli mtupu....."Miafrika ndivyo tulivyo" in Nyani Ngabu's voice.
 
Mimi napo baki midomo wazi kwa wa africa tumeletewa mitandao tutumie kwenye biashara lakini tumekuwa tuna post kuuza sura tu[emoji16][emoji16]
 
Adui wa mwafrica ni mwafrica mwenyewe, haya mengine kutafuta jumba bovu tu as always, wengine walitawaliwa na leo wamesonga mbele bila kuangalia scale ya utumwa sisi tumebaki tumelalama.
Hujakosea lakini mentality ya unyonge ndio hio ninayoizungumzia. Tumeshaingia katika system ya kuamini solutions za nje kuliko za ndani na hata viongozi wetu pia imekuwa ni shida kama nilivyosema..

Hakuna initiative dhahiri za kutto ka tulipo
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana
Na wewe uliyekimbilia kibarua serikalini tukuweke kundi gani?
 
wengine tuna akili zetu mkuu usitufananishe na miafrika mingine , sasa ukishaona jitu zero brain kama daimondi sijui hamonaizi sijui nani likipata hela hata kwa hayo mauchawi linawaza kuweka mabaunsa utadhani limekuwa benki, hii ni kitu ya genetics , ndiomaana wanasema huwezi kuvuna ambacho hujapanda never
 
Huu ni ukweli mchungu,
Ila bado inahatajika utafiti zaidi kujua kwa nini Mwafrika amekuwa nyuma sana katika eneo la uvumbuzi wa teknolojia hasa kuanzia karne ya 18. Huenda kuna sababu za mazingira/jiografia na Historia ambazo ziko nje kabisa ya uwezo wake.
Ukweli unauma! Inabidi ukubali Mwenyezi Mungu aliumba Africa race kuwa katika kiwango cha chini, au kwenye evolution waafrika bado tuko kiwango cha chini kwenye mfumo wa evolution.
Uwezo wetu wa kufikiri na kubuni ni mdogo mno!
Nadhani kwenye process ya evolution tulikomea kungundua moto, sana sana akili zetu bado ziko stone age, hata Iron age tulianza kuingia ndio mzungu akatokea.
Maana kama tungeingia Iron age, waafrika tungekuwa na silaha za kumzuia kututawala.
Miaka 60 toka kwa mkoloni na kutupa elimu bado ni kama tuko bado mapangoni.
Intellect yetu imekwama!
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Hapo kwamba Mungu katupunguzia akili sio ukweli
Ukweli ni kwamba Africa tulikaa mbali na uso wa Mungu kwa muda mrefu kupitia mazindiko na uchawi na kuamini kwenye ushirikina hayo ndio yametuweka mbali na Mungu na kumcha Mungu ndio chanzo cha maarifa
 
hoja nzuri!

ila nadhani sio kuwa tumepunjwa akili. kwa bahati mbaya mifumo yetu ya zama za kale, sio utawala sio uchumi, yote imeuliwa na mkoloni.

cheki hii video, inaweka shida zote tulizonazo kama waafrika sehemu moja! kwa bahati mbaya, hatuna ujanja kukwepa pia, hio ndio shida kubwa!

kiukweli sisi Waafrika tupo vizuri na wabunifu sana sema kwa muda mrefu utawala wa kikoloni umeturudisha nyuma mno! na katika mifumo mipya, baadhi ya waafrika wenzetu wanaendeleza mifumo ya kikoloni na bahati mbaya zaidi, pesa ilipoingizwa kwenye mfumo wa malipo duniani ndio kabisa waafrika wamepotea kwenye chati. ila siri kubwa ya mafanikio ya mwaafrika ni kwenye kilimo. sisi ndio wenye ardhi ambayo tunawezalisha dunia lakini vipingamizi ni vingi hasa lugha na sayansi inayotumika katika uboreshaji ni chenga sana.

kuna mambo mengi Waafrika wamegundua alafu sifa zinaenda kwa mtu mweupe! bahati mbaya kwenye michezo hamna jinsi ya kumpokonya Mwafrika sifa na juhudi zake kwani zinaonekana na ndio maana sehemu kubwa hapo kwenye michezo tuna shine sana!

swala la maendeleo, uongozi yote hayo ni mifumo iliyowekwa na mkoloni. mkoloni akiona kuna mweusi anakipaji kuliko wenzake basi sifa nyingi na kumpelekea dada/kaka yetu kuleta dharau. iwe kwenye elimu ama kipato...

kiufupi, mkoloni ilibidi akae chini afikiria njia nyingine ya kututawala ambapo kaneno "uhuru" katatumika. ni wachache waliogundua na ndio kama tunavyojua, hao hua hatukai nao muda mrefu (naongelea janga linalokumba bara la Afrika hapa)!

tumepotea SANA ila ipo siku atatokea MTU ambaye atajaribu kufanya mageuzi "at a great cost" kama wenzake ila atasikika ulimwengu mzima!
Moja ya mfano halisi wa kukosa akili ni kulaumu wengine kuwa ndiyo chanjo cha shida zako. Mwenye akili siku zote hutafuta fursa kwenye kila changamoto. Haiwezekani uwe unalalumikia wakoloni tuu for nearly 60 yrs wakati wenzako wanapiga hatua
 
Back
Top Bottom