Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Mazingira ndo yanatufanya tuwe wajinga. Tunapata mahitaji yetu kwa urahisi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu huko mbali sn, historia tu hatuna historia yetu ya tangu kabla yesu hajazaliwa ina maana babu zetu hawakuandika historia tukaja kuikuta? km hawakuandika historia kwann?Huu ni ukweli mchungu,
Ila bado inahatajika utafiti zaidi kujua kwa nini Mwafrika amekuwa nyuma sana katika eneo la uvumbuzi wa teknolojia hasa kuanzia karne ya 18. Huenda kuna sababu za mazingira/jiografia na Historia ambazo ziko nje kabisa ya uwezo wake.
Huyo huyo Trump aliwahi kusema: waafrika wakiona mvua inakuja, wanaanza kutafuta mwanamke wa kulala naye, badala ya kupanga mikakati madhubuti ya maendeleo kikiwemo kilimo.Naunga mkono hoja mtu Trump alikuwa sahihi juu yetu watu weusi AFRIKA yote imejaa vituko...
mkuu huko mbali sn, historia tu hatuna historia yetu ya tangu kabla yesu hajazaliwa ina maana babu zetu hawakuandika historia tukaja kuikuta? km hawakuandika historia kwann?
Afrika ukiondoa Waarabu wa Afrika kazkazini nchi zote zina fananaSasa mbona unasema mtu mweusi? Sema mtanganyika. Mtu kasoma morogoro mpaka advance, katoka hapo kaenda chuo morogoro kisha akapata kazi mbeya unategemea nn.
Kweli kabisa. Mimi ni mtu ambaye naridhika na kitu kidogo tu.Mtu mweusi vyake ni vidogovidogo na sifa za kutukuzwa kwenye critical thinking capability hatupo!
Wewe nwenyewe hapo ukipatiwa kajumba, Kagari na uhakika wa ugali, pia ukiwa juu ya ndugu zako kiuchumi unakuwa mwendo umeumaliza!😁😁😁
Mtu mweusi vyake ni vidogovidogo na sifa za kutukuzwa kwenye critical thinking capability hatupo!
Wewe nwenyewe hapo ukipatiwa kajumba, Kagari na uhakika wa ugali, pia ukiwa juu ya ndugu zako kiuchumi unakuwa mwendo umeumaliza![emoji16][emoji16][emoji16]
Yes.Mkuu uliwahi piga kazi acaccia ya gold mine hii hii ?
Yupo mtu mweusi mwenye historia kwenye hii dunia usihitimishe kiwepesi fanya tafiti utakutana nao.Afrika ukiondoa Waarabu wa Afrika kazkazini nchi zote zina fanana
Hatuja punjwa Akili mzee..ila tulizidiwa Akili wakati waarabu na wakoloni wanakuja kuchunguza Bara letu tukadhani wamekuja kwa nia njema bila kutafakari kwa kina ujio wao..Wazee na mababu zetu niseme na kuwaita walikuwa VILAZA, wapumbavu, wajinga na wakakosa umoja waka anza kusalitiana wao kwa wao...yani Machief wetu walishiriki kutoa taarifa nyingi sana na kuwapa wakoloni Kama taarifa za kiulinzi, majeshi,imani zao, walitoa taarifa zote muhimu na kuwa ambia waarabu na wazungu...Sasa baada ya waarabu na wazungu kupata taarifa zote muhimu wakarudi kujipanga sasa kwa Uvamizi..wakajua udhaifu wetu ni kukosa umoja hivyo wakazidi kutugawa na kutugombanisha na kuchochea chuki baina yetu...Mfano mdogo tu Mangi mandara wa wachaga alishirikiana na wajerumani ili tu amzidi Mangi Meli kiutawala ..Huu si ujinga huu.!!!...
Wazungu wao ni wajanja sana toka zamani waliweka tofauti zao pembeni wakaungana kwenye kila nyanja kiuchumi, kiulinzi, kifedha..ndio maana leo hii kuna Umoja wa Nchi za Ulaya (EU),wana umoja wa kujihami NATO,makao yote makuu ya nchi zote yapo kwao United Nations (UN),Benki kuu ya dunia(WB), mashirika makubwa yote ya kielimu, kiafya yapo kwao....
Waafrika wenye Akili walikuwepo kina Muammar Gadaffi, Nkurumah, wanaharakati weusi kina Malcolm x, Martin Luther king Jr, Muhammad Ali, walitoa michango mikubwa sana kutaka AFRICA iungane tuwe kitu kimoja, sema kutokana na Akili za waafrika wengi zilivyo za kijinga, kimaskini, zenye chuki binafsi,ukabila,uchu wa madaraka Zinachangia kuzima na kukatisha tamaa za Waafrika wachache wenye Akili na upeo kuendeleza mapambano ya Afrika kuungana...mfano ni sisi wenyewe watanzania tulimpinga sana Magufuli kisa tu ali ingilia uhuru wa wahujumu uchumi,ajira hewa.. vibaraka wa wazungu....Kwa ufupi ni kwamba mchawi wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe tangu zamani.
Ndugu, unajua uhuru wa kutoa maoni uliopewa na katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bado uhuru huo unaweza kunyang'anywa kwa upande mwingine???????Mimi naona anao, angekuwa hana asingeandika aliyoandika. Sidhani kama kuna wa kumfanya chochote!
Muafrika hana akili ndogo Ila ile yale mamia ya miaka ya utumwa, ukoloni na bado huu ukoloni mamboleo ambao walio juu yetu wanaukumbatia. Itachukua mamia ya miaka kuuondoa ili kupata generation mpya ya waafrika walio huru kama wale ambao hawakuathiriwa na vitu nilivyovitaja hapo juu
hapana mkuu ht hio isingesaidia, angalia mwafrika kusini anafanya nn cha maana? sisi shida yetu ilianzia mbaliNa ndo maana nachukia sana kwanini afrika tuliwahi kupata uhuru kabla hatujawa civilized. Mkoloni alikuja kuwacivilize waafrika na kuwafanya wawe modern lakini kiherehere kilituponza