Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Muafrika ndo mwenye dunia yake hawa wazungu wamekuja kutufumba macho yetu hatuoni wala kusikia, Africa United
 
Slaves mentality imeharibi watu AKILI sn especially katika bara la AFRICA na hii itachukua miaka mingi sn kuondokana na akili hii ukisoma hizi comments hamu utangundua tuna safari ndefu sn white people wameweza kubadilisha akili ya mtu
kabla ya huko kote nikuulize unaifahamu historia ya babu zako ya tangu karne ya 9? km mtu mweusi hakuandika ht historia yake mwenyew utaona ukubwa wq tatizo
 
Alietuumba alikuwa na mpango huu sisi tuwe watumishi wa watu weupe tufanye kazi mashambani na viwandani na ndo maana unaona tumeumbiwa mwili wenye nguvu na unahimili hali zote mbaya

Ila baadae hao watu weupe walijichanganya wakaenda kinyume na alietuumba wakatupatia elimu na wakaanza kupigania haki zetu
Umepita mule mule:

 
Ukweli unauma! Inabidi ukubali Mwenyezi Mungu aliumba Africa race kuwa katika kiwango cha chini, au kwenye evolution waafrika bado tuko kiwango cha chini kwenye mfumo wa evolution.
Uwezo wetu wa kufikiri na kubuni ni mdogo mno!
Nadhani kwenye process ya evolution tulikomea kungundua moto, sana sana akili zetu bado ziko stone age, hata Iron age tulianza kuingia ndio mzungu akatokea.
Maana kama tungeingia Iron age, waafrika tungekuwa na silaha za kumzuia kututawala.
Miaka 60 toka kwa mkoloni na kutupa elimu bado ni kama tuko bado mapangoni.
Intellect yetu imekwama!
Nahisi hata huo moto sisi hatugundua. Haiwezekani akili nyeusi hizi tuwe tuligundua moto. Moto ni moja ya gunduzi kubwa duniani kuwahi kubadilisha maisha. Sio style yetu weusi kufanya gunduzi kubwakubwa.
 
dunia kuna maskini na tajiri huwezi badilisha kamwe... waafrika ni zero IQ
naweka list hapa la watu wenye IQ

1.Mzungu
2.mchina/mjapan/korea
3.Muhindi
4.mwarabu
5.mwafrika.


waarabu na waafrika hawajapishana sana chunguza vizuri.
Hivi ndugu yangu umewahi kusafiri kutoka kwenda kokote kule Nje AFRICA kama ulivyo weka hiyo list umewahi kufika Nchi yoyote kati ya hizo ulizo weka list hapo popote ili comment yako ipate msisitizo kwamba ni kweli.
 
Unaonaje tukatafuta mzungu akutawale kwanza maana bado hujaelimika,hao unao waona wana akili ndo walisema hapo zamani ulikuwa nyani,swali tu ulisha wahi kumuona nyani kajenga nyumba?.

Ni hayo tu pia nikukumbushe usitumie kichwa kama kifuniko cha shingo.

Uwe na siku njema.
Ni bora kutawaliwa na mzungu kuliko na mtu mweusi mwenzako.

Amini kwamba
 
Ndugu, unajua uhuru wa kutoa maoni uliopewa na katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bado uhuru huo unaweza kunyang'anywa kwa upande mwingine???????

Nb: Katiba imekupa uhuru wa kutoa maoni upande wa kulia kisha ikakupukonya upande wa kushoto.
Huenda, ila hakuna wa kumkamata huyo jamaa. Never ever! Na hakuna mwenye jeuri ya kumnyang'anya uhuru huo.!
 
Muafrika hana akili ndogo Ila ile yale mamia ya miaka ya utumwa, ukoloni na bado huu ukoloni mamboleo ambao walio juu yetu wanaukumbatia. Itachukua mamia ya miaka kuuondoa ili kupata generation mpya ya waafrika walio huru kama wale ambao hawakuathiriwa na vitu nilivyovitaja hapo juu
Mtu mweusi hata azaliwe wapi atakuwa limbukeni tu
 
Sasa mbona unasema mtu mweusi? Sema mtanganyika. Mtu kasoma morogoro mpaka advance, katoka hapo kaenda chuo morogoro kisha akapata kazi mbeya unategemea nn.
ni mtu mweusi mkuu ndio mlengwa hapa, watu ambao asili yao ni kusini mwa jangwa la sahara
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu uzi wako na kichwa cha uzi havina uhusiano. waafrika tuna akili na kuna wazungu tunawazidi akili kwa mbali, kama unaongelea akili za darasani. Kwenye uzi wako mengi uliyoongelea hayausiani na akili bali na mfumo imara na thabiti uliojengwa kwa miaka mingi na unaowabana sana. Lakini ukikaa nao wengi tu ni swekeni. Wapo pia waafrika wengi tu hawapendi kuitwa boss na hawataki hata shikamoo. Wapo wahadhiri wengi tu wanajitambulisha kama waalimu badala ya wahadhiri, na hii ni issue ya personality na sio akili.

Suala la wanamuziki wa U.S kufanya hivyo ni kwa kuwa huo ndio ulimwengu wao na wapo weusi wanamuziki ambao ni mabilionea na mamilionea. Suala la wengi kuwa magarezani ni kutokuwa na utoaji sawa wa huduma za kijamii na wengi kuwa na kipato kidogo. Huwa namshangaa mwafrika anayejiona inferior, ni umaskini mkubwa sana wa kifikra na kimtizamo.

NB: Nakukumbusha tena, nimesoma nao kwa nyakati tofauti darasani ni wa kawaida sana sana, yaaani sana.
 
hoja nzuri!

ila nadhani sio kuwa tumepunjwa akili. kwa bahati mbaya mifumo yetu ya zama za kale, sio utawala sio uchumi, yote imeuliwa na mkoloni.

cheki hii video, inaweka shida zote tulizonazo kama waafrika sehemu moja! kwa bahati mbaya, hatuna ujanja kukwepa pia, hio ndio shida kubwa!

kiukweli sisi Waafrika tupo vizuri na wabunifu sana sema kwa muda mrefu utawala wa kikoloni umeturudisha nyuma mno! na katika mifumo mipya, baadhi ya waafrika wenzetu wanaendeleza mifumo ya kikoloni na bahati mbaya zaidi, pesa ilipoingizwa kwenye mfumo wa malipo duniani ndio kabisa waafrika wamepotea kwenye chati. ila siri kubwa ya mafanikio ya mwaafrika ni kwenye kilimo. sisi ndio wenye ardhi ambayo tunawezalisha dunia lakini vipingamizi ni vingi hasa lugha na sayansi inayotumika katika uboreshaji ni chenga sana.

kuna mambo mengi Waafrika wamegundua alafu sifa zinaenda kwa mtu mweupe! bahati mbaya kwenye michezo hamna jinsi ya kumpokonya Mwafrika sifa na juhudi zake kwani zinaonekana na ndio maana sehemu kubwa hapo kwenye michezo tuna shine sana!

swala la maendeleo, uongozi yote hayo ni mifumo iliyowekwa na mkoloni. mkoloni akiona kuna mweusi anakipaji kuliko wenzake basi sifa nyingi na kumpelekea dada/kaka yetu kuleta dharau. iwe kwenye elimu ama kipato...

kiufupi, mkoloni ilibidi akae chini afikiria njia nyingine ya kututawala ambapo kaneno "uhuru" katatumika. ni wachache waliogundua na ndio kama tunavyojua, hao hua hatukai nao muda mrefu (naongelea janga linalokumba bara la Afrika hapa)!

tumepotea SANA ila ipo siku atatokea MTU ambaye atajaribu kufanya mageuzi "at a great cost" kama wenzake ila atasikika ulimwengu mzima!
Shukrani Kwachango mzuri,

Kuna upepo wa mabadiriko umeanza kutawala vichwani mwa wa Afrika kote balani Afrika, ukisoma forum mbali mbali utaona wengi Wana uchu Afrika iungane, ili tuweze kusonga mbele,

Swali la kujiuliza, nani ataanzisha hizo harakati? Je viongozi wa Ki Afrika wapo tayari kuungana kuwa Taifa Moja la watu weusi? Nani wa kutuunganisha tuwe kitu kimoja, sababu kwa Sasa Kuta vitu vingi vinatugawa sisi kwa sisi ikiwemo Udini ( uskristo vs Uislam ), ukabira, ukanda, utaifa, Rangi, nk?

Tuna intelijensia inayoweza kutekeleza mambo yake bila influence ya magharibi? Kama hatuna, tuanzie wapi intelijensia zetu zianzishe vugu vugu la kuunganisha bara la Afrika Kwa maslahi ya vizazi vyetu vijavyo?

Tupo tayari kuanzisha system zetu na kuachana na systems za magharibi, mfano matumizi ya pesa, badala yake tukatumia dhahabu au madini mengine yanayopatikana Afrika kwa wingi, ili tuweze kujitoa kwenye mtego wa IMF na World Bank wanazotumia kulinyonya bara la Afrika.

Je Tanzania, Kenya, na nchi zinazo zungumza kiswahili, zimejipangaje kukifanya Kiswahili kitumike kama lugha ya kuwaunganisha wa Afrika kuwa kitu kimoja, sababu utofauti wa lugha nao umechangia kuendelea kugawanyika.

Ndoto yangu natamani Afrika iungane, iwe kitu kimoja, tukiwa na soko la pamoja zaidi ya watu bilioni Moja, tuondoe dhana ya utegemezi kutoka magharibi, hatutakua na haja ya kutegemea mataifa ya nje.
Resource tulizonazo Afrika, tukizitumia vizuri, tutaitawala Dunia miaka ijayo.
 
Hatuja punjwa Akili mzee..ila tulizidiwa Akili wakati waarabu na wakoloni wanakuja kuchunguza Bara letu tukadhani wamekuja kwa nia njema bila kutafakari kwa kina ujio wao..Wazee na mababu zetu niseme na kuwaita walikuwa VILAZA, wapumbavu, wajinga na wakakosa umoja waka anza kusalitiana wao kwa wao...yani Machief wetu walishiriki

Waafrika wenye Akili walikuwepo kina Muammar Gadaffi, Nkurumah, wanaharakati weusi kina Malcolm x, Martin Luther king Jr, Muhammad Ali, walitoa michango mikubwa sana kutaka AFRICA iungane tuwe kitu kimoja, sema kutokana na Akili za waafrika wengi zilivyo za kijinga, kimaskini, zenye chuki binafsi,ukabila,uchu wa madaraka Zinachangia kuzima na kukatisha tamaa za Waafrika wachache wenye Akili na upeo kuendeleza mapambano ya Afrika kuungana...mfano ni sisi wenyewe watanzania tulimpinga sana Magufuli kisa tu ali ingilia uhuru wa wahujumu uchumi,ajira hewa.. vibaraka wa wazungu....Kwa ufupi ni kwamba mchawi wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe tangu zamani.
achana na hao kina gadafi, mtu mweusi km mtu mweusi hajafanya kitu chochote kilicholeta mapinduzi dunia hii, tumesoma akina pythagoras, archimedes mpk kizazi cha kina newton na enstein.....hukuti mtu mweusi huko, mtu mweusi hana hata historia ile ya kusema mwaka68 BC kulikua na watu somewhere tanganyika wakifanya 1,2.3 ila jamii zingine maendeleo yao unaweza kuyatrace tangu muda huo na bbu zao waliandika hizo historia ambazo zipo mpk leo, tatizo la tu mweusi limeanzia mbali kwann huyu mtu mweusi ye hana hata historia na hajashiriki katika mapinduzi makubwa ya sayansi na hisabati? ana tabu gan huyu?
 
achana na hao kina gadafi, mtu mweusi km mtu mweusi hajafanya kitu chochote kilicholeta mapinduzi dunia hii, tumesoma akina pythagoras, archimedes mpk kizazi cha kina newton na enstein.....hukuti mtu mweusi huko, mtu mweusi hana hata historia ile ya kusema mwaka68 BC kulikua na watu somewhere tanganyika wakifanya 1,2.3 ila jamii zingine maendeleo yao unaweza kuyatrace tangu muda huo na bbu zao waliandika hizo historia ambazo zipo mpk leo, tatizo la tu mweusi limeanzia mbali kwann huyu mtu mweusi ye hana hata historia na hajashiriki katika mapinduzi makubwa ya sayansi na hisabati? ana tabu gan huyu?
Umedanganyika,Usitudanganye..
 
Back
Top Bottom