Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kumbe shida yako ni mapambio? Pole sana tu. Watu kama nyie ndio mlitungiwaga Methali: Bahati ya mwenzio usithubutu kujilalia mlango wazi. Mbona Mr Mzungu wenu mlianza kumkweza sana tu hata kabla hayafanya lolote la maana? Umejisahaulisha haraka kiasi hichi zile slogan zenu za "NI YEYE"!?? Na hapo ndiyo kwanza alikuwa angali akisaka tonge chamani!Na nyie mtumie akili badala ya kuimba mapambio ya kumsifu Jiwe usiku na mchana!!
Nilitamani kukujibu nikakumbuka watu sampuli yako huwa hawaelewagi chochote chenye maana.Yaani we acha tu!!
Kwa kuanzia ni kuwa vyoo vimejengwa kwa msaada wa USAID
sasa hii Tanzania sio masikini inatoka wapi? kkbbbkkke😡😡😡
Mabeberu!Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo..
Hivi hua unafikiri,kwa kutumia kiungo gani?Ulitaka watoto wetu wajisaidie vichakani hadi lini ?
Tutatunua tena ndege 5 ili hawa watoto waliokosa matundu ya choo wapande kwenda BirminghamKuna tofauti Kati ya waathirika wa maendeleo na Mabeberu
Sijui watampa nani lawamaTanzania ni ya kijani sasa, nadhani hakuna mtu atapewa tena mzigo wa lawama
Pongezi zako nazikataa ni za kinafikiMkuu Eythrocyte nakupongeza kwa kuanza kubadilika na kuachana na ile milengo ya upingaji wa kila kitu, angalau sasa umeanza kuweka post zinazoonyesha kuwa unajihusisha na mahitaji halisi wa jamii. Hongera mkuu.
Tuko pamoja 🤛👍🏾✌🏿🤝
Mkuu uzi huu uangalie kwa jicho la 3 , kwa hayo macho yako mawili uliyozaliwa nayo huwezi kuelewa chochoteHivi hua unafikiri,kwa kutumia kiungo gani?
Jamii yote iliylzunguka hiyo shule yenye choo kibovu imeshindwa kujenga?
Kijiji,kata,tarafa,wilaya,kite huko Kuna maafisa husika,hicho choo hawakukiona mpaka mmarekan kaja?.
Unaandika tu,hivyo hivyo.
Kama ipi?Isiyo ya kibinadamu
hahahahahahah ndo vya KISASATaarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Nikija kukusaidia kujenga choose nyumba ni kwako ujue nimekudharau, wewe no mchafu pamoja na suti na VX zako hufai.Hii ya leo, misaada ya kibinadamu itaendelea tu.
Serious!?Wazungu wana huruma sana ! Mungu awazidishie
Waafrika ni wapumbavu Sana. Hadi choo Cha shule tujengewe huku mtu mmoja anamsafara wa magari 100!Hapo watakwambia hao ni wadau wa maendeleo, subiri waseme kura ziliibwa utaisikia mabeberu hao, mara vita vya kiuchumi na porojo zingine
Huku watu wananunu gari za mil 450+
Mbona vimepakwa rangi ya dawasco,ina maana walikosa rangi nyingine ?Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Na wazungu wanatukejeli tu,mpaka picha ya choo tulichosaidiwa kujengwa inawekwa kwenye tovuti ili waweke kumbukumbu ya kuwakata midomoWaafrika ni wapumbavu Sana. Hadi choo Cha shule tujengewe huku mtu mmoja anamsafara wa magari 100!
huo msaada ulitoka kabla uchaguzi haujafanyikaHii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lisu kushindwa uchaguzi?
Umenena vema ila umesahau kuwa hao walimu na wajumbe wa kamati za shule ukiona wanapojistili hicho choo cha shule ni bora, ktk mazingira hayo hawawezi kuona umuhimu wa vyoo bora kwa wanafunzi 🎃Sijui tumelaaniwa na nani yarabi! Hata vyoo? How comes choo cha shule kinaachwa hadi kifikie hali inayoonekana kwenye picha ya kwanza? Mkuu wa wilaya yupo; afisa elimu wilaya yupo; DED yupo; mbunge yupo; (wote hao ni mwendo wa VX-R V8); maafisa kata wapo; kamati za shule zipo; wazazi wapo; mwalimu mkuu yupo; walimu wapo; tatizo nini? Kazi yao nini? Kula mishahara?
Hadi beberu atoke maelfu ya maili huko kugundua kuna vyoo vya shule nchini Tanzania vimechoka? Nchi hii haina tatizo la fedha tena; lilishakuwa historia tangu awamu ya tano iingie madarakani! Wapinzani walokuwa wanatuchelewesha hawapo tena!
Sijui tumelaaniwa na nani yarabi! Hata vyoo? How comes choo cha shule kinaachwa hadi kifikie hali inayoonekana kwenye picha ya kwanza? Mkuu wa wilaya yupo; afisa elimu wilaya yupo; DED yupo; mbunge yupo; (wote hao ni mwendo wa VX-R V8); maafisa kata wapo; kamati za shule zipo; wazazi wapo; mwalimu mkuu yupo; walimu wapo; tatizo nini? Kazi yao nini? Kula mishahara?
Hadi beberu atoke maelfu ya maili huko kugundua kuna vyoo vya shule nchini Tanzania vimechoka? Nchi hii haina tatizo la fedha tena; lilishakuwa historia tangu awamu ya tano iingie madarakani! Wapinzani walokuwa wanatuchelewesha hawapo tena!