UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

Sijui tumelaaniwa na nani yarabi! Hata vyoo? How comes choo cha shule kinaachwa hadi kifikie hali inayoonekana kwenye picha ya kwanza? Mkuu wa wilaya yupo; afisa elimu wilaya yupo; DED yupo; mbunge yupo; (wote hao ni mwendo wa VX-R V8); maafisa kata wapo; kamati za shule zipo; wazazi wapo; mwalimu mkuu yupo; walimu wapo; tatizo nini? Kazi yao nini? Kula mishahara?

Hadi beberu atoke maelfu ya maili huko kugundua kuna vyoo vya shule nchini Tanzania vimechoka? Nchi hii haina tatizo la fedha tena; lilishakuwa historia tangu awamu ya tano iingie madarakani! Wapinzani walokuwa wanatuchelewesha hawapo tena!
Umeongea Kwa uchungu Hadi nimejikuta chozi likinitoka aisee

Tuna Baadhi ya viongozi ambao ni washenzi Sana, Wapo Kwa ajiri ya faida zao Tu na sio kusaidia jamii

Raisi wetu aongeze kutumbua majiti yasiyojielewa
 
Ni aibu Sana aisee kwa nchi ya uchumi wa Kati kusaidiwa choo. Hali mkurugenzi ananunua v8 la m 470.
Hakuna tusi kubwa Sana duniani kuliko lote Kama mtu kujijengea choo yaani amekudharau Sana yaani amekuona kichwani ni kopo kabisa. Aibu Sana kwa dona kantri inayonunua ndege cash
 
Hivi kuna misaada ambayo si ya kibinadamu? Hata ujenzi wa barabara unalenga kuhudumia binadamu. Sijui ni misaada ipi ambayo si ya kibaindamu?
Ukinunuliwa bunduki na mabomu ni misaada dhidi ya binadamu.
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Hao ndio MABEBERU!! Bombadiyeee na Drimulaina OYEEEEEEEEEE!!
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
DONOR COUNTRY IN THE RIGHT TRACK!
 
Hii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lissu kushindwa uchaguzi?
Mabeberu yana huruma. Yameona tunafikiria kununua ndege na kuwasahau vijana wetu wanaosoma bure ... wakaamua kusaidia!!
 
Hapo unakuta mkurugenzi ananunua v8 la m 470 cash, aliyeturoga alishakufa.
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Tundu lisu hajawakatazaa?
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Miongoni mwa Watu ambao huwa nakubali pale Waafrika tukidhihakiwa Wapumbavu na Wazungu ni Mimi. Karne hii bado pia tunajengewa Vyoo?
 
Umeandika kwa hisia kali, pole sana.

Hilo ndo lengo la mabeberu! kushika hisia za walengwa ili waendelee kutucolonize kifikra

Hivi unafikiri kwao hakuna maskini wa kutupwa tena ambao hata hawajui kesho yao kama wataishi?!
Hujiulizi kwanini wasiaaidie huko?!

Beware misaada yao ndo umaskini wetu.
Haya ni maajabu .tunasaidiwa mpaka vyoo arafu mnawaita mabeberu
 
Ukinunuliwa bunduki na mabomu ni misaada dhidi ya binadamu.
Kwa nini isiwe misaada, unajilinda dhidi ya maadui. Mfano magaidi wanaosumbua watu huko Msumbiji na Mtwara, dawa yao ni mabomu tu. Huoni huo ni msaada mkubwa sana kuliko hata hiyo choo kwani umeaidia kurudisha amani kwa watu.
 
Back
Top Bottom