Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?


Nikisema hivyo haina maana nchi nyingine hawafanyi hata we unawatumwa nyumbani mwako tofauti ni namna ya kutreat hao watumwa
 

Mkuu Econometrician,

Ni kweli kabisa utumwa unatokana na ujinga unaozalisha woga. Hata leo waafrika wengi bado ni watumwa fikra na wameridhika kabisa kuwa watumwa.
Vugu vugu la ukombozi wa waafrika limepita na viongozi wengi waliopo sasa hivi wana fikra potofu zinazoturudisha utumwani na wamekuwa vibaraka wa mabeberu kuendeleza utumwa wa fikra zinazoendeleza vitendo vya kumdidimiza mwafrika.
Wananchi walio wengi wanatakiwa kujua kuwa woga ni umasikini na hivyo wanatakiwa kupambana kwa mbinu mbalimbali zikiwepo hujuma dhidi ya wanyonyaji na vibaraka wao.
Tunatakiwa kuanza mapambano upya na kuwaandaa watoto wetu wawe na utayari wa vita dhidi ya vibaraka na mabeberu wenyewe. Hatari kubwa ambayo itahitaji tahadhari katika mapambano hayo ipo katika kuwakabili vibaraka wa mabeberu ambao wengi walishajipenyeza kwenye madaraka katika nchi zao.
Muungano unaotakiwa ni wa waafrika masikini wanaonyonywa dhidi ya mabeberu na vibaraka (wengi wakiwa ni waafrika wenzao).
Makundi ya siri ya kizalendo ya kuilinda jamii ni muhimu ambayo yanatakiwa yawe na uwezo mkubwa wa kuwaangamiza mabeberu, vibaraka na hata viongozi wa nchi ambao wanashiriki katika vitendo vya kuwadidimiza waafrika walio wengi.
 
tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu

Du kweli! Muarabu ndo alikuwa wakala wa kuchukua watumwa, na kwauza kwa mzungu, lakini uarabuni hakuna mtu mweusi, wala mabaki yake,
 

Mkuu umenifanya nianze kufikilia kwa kina sana juu ya hawa wachina na wenzao wa asili yao .....Mbona hatuna historia zao za kuwaonea wenzao kama walivyofanya waarabu, wahindi, wazungu, etc.
 
At least waafrika wazamani walikuwa mbumbumbu wanaweza kujitetea kwa hilo,leo hii misomi mizima inashindana kuita wenzao tumbili kisa kagusa maslahi na kusema ukweli kuwa tumeibiwa na mhindi na wamatumbi wenzetu!!NAHISI WAAFRIKA TUMELAANIWA!!!!pamoja na mungu kutupendelea kwa kila kitu,kutuepusha na disaster za kila aina tumebaki tunaombaomba kama MATONYA!!! Bado tunawatukuza wale waliowalabua bakora babu zetu,waliowahasi babu zetu ile wasiwatafunie wake na watoto wao.IN SHORT mwarabu ni mshenzi sana ukitaka uhakika tafuta mwarabu mwafrika kwao humpati!!sababu ni kuwa wanaume wote waliwahasi kama maksai na kuwageuza nanihino!!!
 
Arabuni watu weusi ni wengi kuliko unavyofikiria.
 
naomba unitajie tafadhali.

Mkuu hakuna kitu kama hicho zitakuwa story za vijiweni tu.

Labda angeandika,"Oman ina mawaziri wenye asili ya Tanzania" at least inge-make sense.
 

This is a very hard to swallow fact, hata mimi napata tabu kuamini kama kweli hii race ni superior,

Ukiangalia yanayotokea kwenye Bmk ,again kikundi cha watu 1000 wanawapotosha karibia population ya watu milion 50, na yet tumekaa kimya kabisa huku tukifahamu fika tunadanganywa.. ndio hayo hayo ya waarabu au wazungu wawili kuliongoza kundi la watumwa 1000 kutoka tabora mpaka bagamoyo,
Zimbabwe maamuzi ya mugabe yanawafanya wazimbabwe wawe watumwa katika nchi yao wenyewe, Mugabe huyo huyo anaamua ku abandon Zim dollar na kutumia us dollar kama main currency. Na hamna mtu anapinga.

Najipa moyo kuwa huenda tutabadilika huko mbele ya safari , ingawa wakati mwingine nafsi huwa inanishawishi kuwa huenda wa afrika tuliumbwa inferior
 
Nilitegemea hii mada itaibua mjadala mmoja wenye uelekeo fikirishi sadly.watu wameishia kutetea mabwana zao tu(wazungu/ waarabu)

Hakuna mwarabu wala mzungu mwenye yupo tayari kumtetea mtu mweusi kama mnavyojipendekeza nyie humu hao jamaa zenu wote wanafiki tu.
 
Nikisema hivyo haina maana nchi nyingine hawafanyi hata we unawatumwa nyumbani mwako tofauti ni namna ya kutreat hao watumwa
Ukifuatilia utaona kuwa maelfu ya waarish toka ireland walichukuliwa utumwani na wa england na kupelekwa marekani kutumikishwa.kumbuka kipindi hicho bara la america ndo limegunduliwa na wakazi wa huko wakiwa ni red indian.
waingereza wakalifanya america koloni lao na waarish walipelekwa huko kama watumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…