Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami pia nashauri msusie uchaguzi. Ila ujiulize, mliposusia ule wa Serikali za Mitaa mlipata impact gani?
Pascal Mayalla,
Si vibaya na ww Paskali ukaweka maelezo ya kina kuhusu tume kuwa huru lakini sio shirikishi, unapotaka iwe shirikishi unamaanisha iwe na muundo gani. Huu ni uzi muafaka wa ile dhana yako
A typical mswahili. If you have not read it, why comment and conclude that it is nonsensical?Sjasoma hata nukta but I believe it a nonsensesical speech i.e it is not based on spiritual things
Mlikuwa wapi tangu 2015?Impact iliyopo ndio hilo joto la kudai tume huru na wananchi wote kuelewa nini tunamaanisha. Ingekuwa tumeshiriki leo hii tungedai hiyo tume huru tusingeeleweka.
Mlikuwa wapi tangu 2015?
All the best. Mkiipata nitawapongeza.Tume huru ilianza kudaiwa toka mfumo wa vyama ulipoanza hapa nchini, sio madai ya wiki iliyopita. Unaposema tulikuwa wapi hiyo 2015, naona hiyo 2015 ndio ulianza kujua siasa baada ya hizi siasa chafu kuanza hapa nchini.
Hiyo sentensi ya mwisho ndiyo umeongea la maana. Na litokee!!Mkuu Tindo hoja ya Pascal kuwa mda uliobaki Ni mdogo Haina mashiko,hivi kupeleka mbele uchaguzi let say kwa miezi mitatu ili kupata time mpya na inayokubalika haiwezekani?hivi ikitokea Rais akafa siku tatu kabla ya Uchaguzi Mkuu ambae pia Ni mgombea,mda wa uchaguzi hautasogezwa mbele?
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM to them Tume Huru ni kama COVID 19 na wao wanajua once that allowed the struggle will be huge . Any changes to have Tume Huru means maongezi pia juu ya ushiriki wa Polisi katika changuzi zetu . A very bitter move and CCM cannot afford it .Hiyo sentensi ya mwisho ndiyo umeongea la maana. Na litokee!!