Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Credit kwa majibu mazuri.
Nami itoshe kusema kuwa tatizo kubwa sana liko kwa watendaji kukosa huo uhuru wa kifikra kwa hisia, uoga, njaa na mengine mengi uliyoyataja.
Japo haya yanaweza kupunguzwa iwapo taasisi zitajengwa katika misingi huru inayolenga kutoa huduma zenye ufanisi mkubwa badala ya upendeleo wa kundi fulani.
Good analysis Mama Amon,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami itoshe kusema kuwa tatizo kubwa sana liko kwa watendaji kukosa huo uhuru wa kifikra kwa hisia, uoga, njaa na mengine mengi uliyoyataja.
Japo haya yanaweza kupunguzwa iwapo taasisi zitajengwa katika misingi huru inayolenga kutoa huduma zenye ufanisi mkubwa badala ya upendeleo wa kundi fulani.
Good analysis Mama Amon,
Sent using Jamii Forums mobile app