Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Unarukaruka tu kama vi pop-corn na story zako za kuungaunga, Ibrahim gani aliyetokea Syria?
Tangu lini Mesopotamia ilikuwa Syria?
Kwani ni wapi? A simple Google search ingekusaidia we kil.aza.

"Ancient Mesopotamia, the land of the Tigris and Euphrates Rivers, now lies mostly in modern Iraq and northeastern Syria, together with southeastern Turkey and western Iran"

Source: University of Cambridge
 
You need to sit down and read about the Ottoman Empire and all it's evil. Those Turkiye are not as innocent as you think.
Nishafanya hayo uyasemayo.
Ottoman haikuwahi kuwa katili miaka yote,kuna miaka na miaka kulingana na Sultan aliyetawala.
Pia hiyo bado haijalishi kuhalalisha vurugu anazofanya mkurdi.
 
Kwani ni wapi? A simple Google search ingekusaidia we kil.aza.

"Ancient Mesopotamia, the land of the Tigris and Euphrates Rivers, now lies mostly in modern Iraq and northeastern Syria, together with southeastern Turkey and western Iran"

Source: University of Cambridge
Wewe Popoma sana, Mesopotamia ipo between Iraq and Kuwait, google search bila akili ni afadhali usiitumie utazidi kupotea tu.
 
Sababu Palestine limetokana na jina Philistine ambao ni descendants wa hapo kuanzia caphtorites n.k so kwa vyovyote itakavyokua ardhi haiwezi kuwa ya Israel it's either palestine or ancient canaanites
Ona sasa, wengi ndiyo mnapo bugi kwa historia zenu za kuchovya. Palestine na Wafilist hizo ni jamii tofauti kabisa na hao Wafilist ni jamii iliyopotea kabla hata ya kuja kwa Wapalestina
 
Nishafanya hayo uyasemayo.
Ottoman haikuwahi kuwa katili miaka yote,kuna miaka na miaka kulingana na Sultan aliyetawala.
Pia hiyo bado haijalishi kuhalalisha vurugu anazofanya mkurdi.
When you have been persecuted for so long you get somewhere and you just say enough!. Rudi kasome Dersim massacre, Zilan massacre. Nenda kasome kama hata lugha yao imekatazwa. Erdogan sio Malika. Ni katili kuliko unavyofikiria.
 
Hao wakurdi kila eneo wanaleta fujo.
Uturuki wanaleta fujo,Iran,Iraq na Syria pia.
Kote wanaleta fujo,hawa ni watu wa fujo siku zote.
Na mashambulizi yao kuelekea Uturuki wanafanya kutokea Syria.

Uturuki haijawashindwa wakileta fujo wanatandikwa vizuri tu.
Sema huwezi ukasema uwapige uwamalize ni uongo.
Mwanzo wa huu mwaka si Uturuki iliingia Syria na kufanya ground operations na ikawakamata mamia ya wapiganaji wa kikurdi??
Wengine wakakimbia wanapojua wao.
wapo kwenye makazi yao ya asili, kabila lao, lugha yao, viongozi wao, ila kujitangazia uhuru wa nchi yao ndio mnaita fujo. kwani wakipata nchi yao ya kurdistan wanayopigania tangu enzi mnaumia nini? hawavamii mtu, walikuwa pale, wapo pale, na wana viongozi wao wa kikabila.
 
wapo kwenye makazi yao ya asili, kabila lao, lugha yao, viongozi wao, ila kujitangazia uhuru wa nchi yao ndio mnaita fujo. kwani wakipata nchi yao ya kurdistan wanayopigania tangu enzi mnaumia nini? hawavamii mtu, walikuwa pale, wapo pale, na wana viongozi wao wa kikabila.
Makazi yao ya asili ni Iran.
Syria hapawahusu wala Iraq hapawahusu.
Aya kwanini wafanye fujo Syria na Iraq pia!??
Halafu mbona makabila mengine wamekubali kuwa chini ya bendera moja!??
Kwanini fujo waanzishe wao tu peke yao!?
 
Makazi yao ya asili ni Iran.
Syria hapawahusu wala Iraq hapawahusu.
Aya kwanini wafanye fujo Syria na Iraq pia!??
Halafu mbona makabila mengine wamekubali kuwa chini ya bendera moja!??
Kwanini fujo waanzishe wao tu peke yao!?
wapo mipakani mwa kila nchi, hizo nchi zote zimewazunguka wao wapo katikati. ni kama masai wanapokuwepo kenya na tanzania. wakurdi wapo iraq, iran, syria na uturuki.
 
wapo mipakani mwa kila nchi, hizo nchi zote zimewazunguka wao wapo katikati. ni kama masai wanapokuwepo kenya na tanzania. wakurdi wapo iraq, iran, syria na uturuki.
Kaka nenda kafuatilie historia.
Usitizame sasa hivi tizama chimbuko lao.
Chimbuko la kurdi ni uajemi.
Wao pahala pao ni Iran ndipo wanapostahili.
 
Wewe Popoma sana, Mesopotamia ipo between Iraq and Kuwait, google search bila akili ni afadhali usiitumie utazidi kupotea tu.
Nimekuletea excerpt ya University of Cambridge unataka kusema unajua zaidi kuliko top University? Mimi sio level sio kabisa kabishane na illiterates wenzako. Abraham hajatokea Palestine bali Syria huko sasa huo umiliki wa Israel anautoa wapi?

Cha ajabu Abraham naye alikua na watoto 8 ila eti wote hao hawajawahi kudai Israel ila mjukuu mmoja tu yaani Yakobo ndio mmiliki? Vipi hao wajukuu ya watoto 8 wa Abraham je unajua wapo nchi gani? Na kwanini hawadai urithi wa Israel?

Ukipata majibu ndio utajiona mjinga kabisa
 
Ona sasa, wengi ndiyo mnapo bugi kwa historia zenu za kuchovya. Palestine na Wafilist hizo ni jamii tofauti kabisa na hao Wafilist ni jamii iliyopotea kabla hata ya kuja kwa Wapalestina
Wapi nimesema ni jamii moja? Unawezs nionyesha? Nimekueleza nature ya jina Palestine lilipotokea.... meaning ilishakua na identity kabla ya hao wayahudi hawajafika cha ajabu wamekuta nchi ina jina ila wao wanadai ndio asili yao? Inaingia akilini? Hivi mfalme wa yerusalem wa Mwanzo 14 aliyepewa sadaka na Abraham alikua myahudi pia? Empty brain kabisa
 
Nimekuletea excerpt ya University of Cambridge unataka kusema unajua zaidi kuliko top University? Mimi sio level sio kabisa kabishane na illiterates wenzako. Abraham hajatokea Palestine bali Syria huko sasa huo umiliki wa Israel anautoa wapi?
Wewe jamaa utakuwa na shida mahala katika ufahamu wako, nani aliyeleta story za Abraham kuwa ni Mpalestina hapa? Tangu umeanza nakuona umachofanya ni ku spin mambo tu lakini bado unazidi kujikaba mwnyew.
Yaani wewe kwa kuandika hivi vitu visivyo hata na grounds tena kwa ku quote sources ambaxo hata kuzielewa unashindwa ndiyo unajiona intellectual?

Cha ajabu Abraham naye alikua na watoto 8 ila eti wote hao hawajawahi kudai Israel ila mjukuu mmoja tu yaani Yakobo ndio mmiliki? Vipi hao wajukuu ya watoto 8 wa Abraham je unajua wapo nchi gani? Na kwanini hawadai urithi wa Israel?

Ukipata majibu ndio utajiona mjinga kabisa
Hapa ndiyo umezidi kujidhihirisha level yako ya upumbavu kuwa haitibiki na kwako hiyo ni both, kipaji pia ni hobby.
Kwamba ukiwa na mali hazigawanyiki? Zote zinakuwa za wote?

Unalazimisha kushinda mijadala sio kwa uelewa bali kwa ujanjaujanj wa ku twist mambo, unaleta mambo ambayo ni nje ya mjadala, unategemea kulisha watu vitu ambavyo hawajaviongea ili kwako iwe rahisi kuwa plaay down. Utawapata only those ambao hawa ku set premises ya hoja zao, siyo mimi.
Mimi nina utamaduni tofauti nikutanapo na watu wa aina yako, Unaonaje nikikupa maushindi yote, just for free, just go and enjoy ushindi.
Nimefunga mjadala
 
jamaa utakuwa na shida mahala katika ufahamu wako, nani aliyeleta story za Abraham kuwa ni Mpalestina hapa?
Nimeita palestine maana ndio jina halisi ya eneo hilo mind you hata Biblia inaita eneo ambalo wewe unaita ISRAEL kuwa ni PALESTINE au biblia imepotosha?
20240410_143619.jpg

Kwamba ukiwa na mali hazigawanyiki? Zote zinakuwa za wote?
Biblia inasema nchi ya ahadi alipewa Abraham sasa kivipi ukoo mzima wenye wajukuu zaidi ya 100 ajimilikishe mjukuu mmoja tu "nchi ya ahadi"? Hao wajukuu wengine mamia walienda wapi? Mbona hawajadai ardhi? Au baraka za Abraham zilikua na mipaka? Unajua reasoning yako ni ndogo sana ndio maana huwezi ona upungufu wa hoja zako.
Nimefunga mjadala
Wala hakuna anayetaka debate na empty set kama wewe ambaye hata elimu yako ni questionable, ila sipendi upotoshaji. Huwezi kuja humu na claims za uongo tukiziacha mtadanganya watu wengi mnoo. So kabla ya kuandika humu muwe mnajisomea kwanza.
 
Back
Top Bottom