Kama ukisimamisha una kata kona kuelekea chini, yaani chini kabisa basi hilo ni tatizo kubwa sana kushinda la PdidyUume wangu huwa unapinda nikisimamisha yaan unakuwa kama unakata kata kona je hata style zingine kwenye mechi nashindwa kufanya je ni tatizo na kama ni tatizo msaada kwa watu wanaofahamu hii shida na pia unakuwa mzito nikisimamisha kwenda juu au ni hali ya kawaida
HA!HA!HA Huyu anawasaidia watumishi kuchukua fedha za watu mfukoni .Unapinda wakati Gani Kama Unapinda Wakati Uko Kwenye Uzinzi Hapo Unahitaji Maombi YESU KRISTO AKUSAIDIE
Kumbe we mnene 😅Haya mawazo yatanikondesha sasa 😥 nawaza anaiswekaje tukiwa Woman on top, nauzito wangu huu naweza ivunja mamlaka😥😥😥
We ni mwanaume kweli ..eti khaaaa..Mimi limenyooka tu hili burudisho,anali enjoy tu huyu shost khaaaaa!
Duh!!!Unapinda wakati Gani Kama Unapinda Wakati Uko Kwenye Uzinzi Hapo Unahitaji Maombi YESU KRISTO AKUSAIDIE
AiseeAcha kuvaa chupi na boxers,acha uume uwe huru,enzi zangu nilivaa chupi/ boxer pale nilipokuwa na ahadi ya kukutana na demu tu
Swali la kizushi, unashiriki mapenzi ya jinsia moja wewe ukiwa demu?Uume wangu huwa unapinda nikisimamisha yaan unakuwa kama unakata kata kona je hata style zingine kwenye mechi nashindwa kufanya je ni tatizo na kama ni tatizo msaada kwa watu wanaofahamu hii shida na pia unakuwa mzito nikisimamisha kwenda juu au ni hali ya kawaida
Dogo, una tabia ya kushikishwa ukuta na wenzio ama?Uume wangu huwa unapinda nikisimamisha yaan unakuwa kama unakata kata kona je hata style zingine kwenye mechi nashindwa kufanya je ni tatizo na kama ni tatizo msaada kwa watu wanaofahamu hii shida na pia unakuwa mzito nikisimamisha kwenda juu au ni hali ya kawaida
Sishiriki na sijawahi kushiriki na sijawahi kufikiria kushiriki.Swali la kizushi, unashiriki mapenzi ya jinsia moja wewe ukiwa demu?
Unataka nikushikishe ukuta? Acha ufala na mafikirio ya kipuuzi sio wote humu ndani wanawaza ungese ungese **** nyokoDogo, una tabia ya kushikishwa ukuta na wenzio ama?
Kweli kabisa mkuu mfano wamatahira hawa hapa mbongo_halisi, Mkereketwa_ HuyuUnasoma maoni karibia 98% ya maoni ni ya matahira na mapumbavu. Ni watu hawazid watano wametoa ushaur wa kitaalam.
Mleta mada jifunze masuala ya kiafya nenda hospital moja kwa moja.