Viwanja Mbeya ni mradi wa kupiga hela, haiwezekani malipo yalipwe ndani ya wiki 2. Kumbuka ukishindwa kulipa hela hairudViwa
Viwanja vya mbozi viliisha chaaapViwanja Mbeya ni mradi wa kupiga hela, haiwezekani malipo yalipwe ndani ya wiki 2. Kumbuka ukishindwa kulipa hela hairud
Mimi nashindwa kununua kiwanja online kupitia Tausi sioni option ya kupata namba ya malipo pia sioni vipimo vya kiwanja husika. Naomba maelekezo please.
Shida ni mda wa kulipia mwez 1 ni mdogo, pia Mbeya wameweka siku 14Dodoma jiji wameweka viwanja... way cheaper than Mafinga..🙄
Mimi nashindwa kununua kiwanja online kupitia Tausi sioni option ya kupata namba ya malipo pia sioni vipimo vya kiwanja husika. Naomba maelekezo please.
Soma vizuri mkuu.. ni miezi mitatu..Shida ni mda wa kulipia mwez 1 ni mdogo, pia Mbeya wameweka siku 14
Boss nna hose a sjakosea, ni utapeli. Sio kua ni miez 3 ishu ni control number unayo pewa ni ya mda gani? Kwe ye maelezo kule juu wanasema ni miez 3 wanajua control namba ya siku pungufu kumbuka usipomaliza kulipa ndani ya mda wa control number hela yako. Imeondoka system imakutkaSoma vizuri mkuu.. ni miezi mitatu..
50% ndani ya siku 30
Next 50% ndani ya siku 60
Kumbe?Boss nna hose a sjakosea, ni utapeli. Sio kua ni miez 3 ishu ni control number unayo pewa ni ya mda gani? Kwe ye maelezo kule juu wanasema ni miez 3 wanajua control namba ya siku pungufu kumbuka usipomaliza kulipa ndani ya mda wa control number hela yako. Imeondoka system imakutka
Tafuta hela.Sema vinakimbia sana, yan dakika chache tu nashangaa nilichokitaka kimechukuliwa.
daah inawezekana kuna ukweli mtu mweusi alishalaaniwa zamani sana. sasa haya mambo gani wanafanya hapa? hawa wana tofauti gani na majambawazi wa mchana kweupe au madalali wanyonyaji wa kitaa? hawa pambaff zao ilitakiwa kukamata wote kutupa ndani haraka sana
sasa ngoja wakushangaze uje kushangaa na roho yako. mweusi alishalaaniwa zamani sana mambo ya ovyoovyo hayaishi. ngoja uuziwe korongo.Una hoja mkuu, lakini ninafikiria inawezekanaje serikali iuze kiwanja chenye mgogoro! Inawezekanaje serikali iuze kiwanja kwenye maeneo hatarishi Kwa mafuriko n.k, najiuliza tu inawezekanaje!! Yani serikali badala ya kuleta usitawi Kwa wananchi wake ilete utapeli! Tutakuwa hatuko salama kabisa ikiwa ni hivo.
Tuelekezeni na sie back benchers tuna unuaje viwanja mtandaonjHii nzuri sana,ambao watatumia madalali ni wale ambao hawajui kutumia mitandao kikamilifu.