Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

Baa data kumaliza kulipia unaenda halmashauri husika tunaandika barua ya kuomba kumilikishwa kiwanja chako

Ukishajibiwa kuna. Fomu za kuja a na kulipia haizid 200000 achana na hizo gharama za kwenye website.

Mm changu cha kwimba ndo nasubiria hati.
Vipi ulipata hati mzee? Na vipi kama unachukua zaidi ya kiwanja kimoja, inamaaniasha inabidi nilipie form zaidi ya moja?
 
Nimeupitia na kuna baadhi ya viwanja Nimeanza kulipia sema kuna mapungufu

1. Kuna mda mfumo unakua haupatikani

2. Kuna mda unaingia unakua wilaya ime ongezeka ukija baadae hutaiona tena. Mfano Bagamoyo, bahi, iringa hizi inakuja na kupoteza naanza kuhisi hua wanaziweka akiwa na wateja wao. Mfano bahi na iringa viwanja ilikua bei ya mserereko

3. Kwenye kiwanja ukianza kulipia kulikua na gharama za kuandaa hati, nmechukua mm viwanja viwili ila ss kuna kitu inaitwa Premium kimeongezwa na mwanzo hakikuepo kabisa na ni hela ndefu

4. Ni hongera system ukilipa mda huo huo chat inasoma.

Kama kuna mwenye kuongeza karibu
unalipa kidogo kidogo kwa muda gani mkuu?
 
Unachagua miezi ya kulipa ama?
screenshot-tausi.tamisemi.go.tz-2024.07.17-22_11_37.png
 
Back
Top Bottom