Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Ni jambo zuri sanaSafi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo zuri sanaSafi sana
Naona zinazongezwa baada ya muda na pia wilaya moja inaweza kuwa na projects zaidi ya mojaDaaah hii ni changamoto nchi yote hii. Halimashauri zilizo wekwa ni 4 TU.
Vipi ulipata hati mzee? Na vipi kama unachukua zaidi ya kiwanja kimoja, inamaaniasha inabidi nilipie form zaidi ya moja?Baa data kumaliza kulipia unaenda halmashauri husika tunaandika barua ya kuomba kumilikishwa kiwanja chako
Ukishajibiwa kuna. Fomu za kuja a na kulipia haizid 200000 achana na hizo gharama za kwenye website.
Mm changu cha kwimba ndo nasubiria hati.
Gharama ya hati imekaaje mkuu, inakuwa based na bei ya kiwanja au kila eneo lina bei yake?Unataka kufaham nn mkuu?
kabisa,sema system yao bado inasumbua kwenye usajilini wakati wa kununua viwanja kidigitali
Yeah bado ni chacheUzi muhimu huu. Ila naona halmashauro chache sana
unalipa kidogo kidogo kwa muda gani mkuu?Nimeupitia na kuna baadhi ya viwanja Nimeanza kulipia sema kuna mapungufu
1. Kuna mda mfumo unakua haupatikani
2. Kuna mda unaingia unakua wilaya ime ongezeka ukija baadae hutaiona tena. Mfano Bagamoyo, bahi, iringa hizi inakuja na kupoteza naanza kuhisi hua wanaziweka akiwa na wateja wao. Mfano bahi na iringa viwanja ilikua bei ya mserereko
3. Kwenye kiwanja ukianza kulipia kulikua na gharama za kuandaa hati, nmechukua mm viwanja viwili ila ss kuna kitu inaitwa Premium kimeongezwa na mwanzo hakikuepo kabisa na ni hela ndefu
4. Ni hongera system ukilipa mda huo huo chat inasoma.
Kama kuna mwenye kuongeza karibu
Unachagua miezi ya kulipa ama?Ndio mm nalipa kwa miez 6
Unachagua miezi ya kulipa ama?
kila halmashauri imetoa muda wake nyingine unaend ampaka miezi 9(kama project ya Lindi)Unachagua miezi ya kulipa ama?
Inakuaje kama control number ina expire kabla hujamaliza kulipia kiwanja? Lets say umelipia nusukila halmashauri imetoa muda wake nyingine unaend ampaka miezi 9(kama project ya Lindi)
Dah hapo sijajua mkuuInakuaje kama control number ina expire kabla hujamaliza kulipia kiwanja? Lets say umelipia nusu
Hela yako ndo inakua imekwenda na maji, soma masharti yanajieleza kabla haujaanza kulipiaInakuaje kama control number ina expire kabla hujamaliza kulipia kiwanja? Lets say umelipia nusu
Inakuaje kama control number ina expire kabla hujamaliza kulipia kiwanja? Lets say umelipia nusu
Waongo hao juu wana andika siku nyingi ila kwenye mkataba siku znakua tofaut. Mfano huu ndo mkataba waokila halmashauri imetoa muda wake nyingine unaend ampaka miezi 9(kama project ya Lindi)
Dah nimekusoma mkuuWaongo hao juu wana andika siku nyingi ila kwenye mkataba siku znakua tofaut. Mfano huu ndo mkataba wao