Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

Hatukatai ni mfumo mzuri wa uuzaji ila sasa unanunua hicho kiwanja,je umefika hapo mahala kilipo kiwanja,unafahamu huduma za kijamii zilizopo,umbali kati ya eneo husika na barabara kuu unaufahamu,na malipo yake yakoje?
Sisi wenye makampuni binafsi tunakuhakikishia uhakika na usalama wa pesa yako au hamtuamini wenye kampuni binafsi.
Basi wala usipate tabu ungana nasi.


Habari ndugu mtanzania mwenzangu.
Tunakukaribisha sana katika uwekezaji kwenye idara ya ardhi.
Sisi PMG AND ASSOCIATE COMPANY LIMITED tunajihusisha na shughuli mbalimbali kama :-
👉🏿Uuzaji wa viwanja na mashamba
👉🏿Upimaji wa ardhi
👉🏿Ubunifu na usimamizi wa majengo
👉🏿Urasimishaji
Na kwa maeneo yenye viwanja na mashamba ni kama yafuatayo:-
👉🏿Kingani beach-Bagamoyo mjini
👉🏿Kigongoni-Magereza bagomoyo
👉🏿Makurunge-Mkabala na razaba
👉🏿Mbwawa new residence-Mbwawa(kibaha mjini)
👉🏿Changwahela beach plots-Zinga
Tunakukaribisha sana huduma zetu ni bora na nafuu sana
Tunapatikana BAGAMOYO MJINI - Plot no 371,Block N ,Majengo
📍See my real-time location on Google Maps!
Kwa mawasilino zaidi waweza kutupigia simu ama message whatsapp
☎️0674376678
Au tufatilie kwenye mtandao wa kijamii wa instagram
Karibuni sana.
 
Hatukatai ni mfumo mzuri wa uuzaji ila sasa unanunua hicho kiwanja,je umefika hapo mahala kilipo kiwanja,unafahamu huduma za kijamii zilizopo,umbali kati ya eneo husika na barabara kuu unaufahamu,na malipo yake yakoje?
Sisi wenye makampuni binafsi tunakuhakikishia uhakika na usalama wa pesa yako au hamtuamini wenye kampuni binafsi.
Basi wala usipate tabu ungana nasi.


Habari ndugu mtanzania mwenzangu.
Tunakukaribisha sana katika uwekezaji kwenye idara ya ardhi.
Sisi PMG AND ASSOCIATE COMPANY LIMITED tunajihusisha na shughuli mbalimbali kama :-
👉🏿Uuzaji wa viwanja na mashamba
👉🏿Upimaji wa ardhi
👉🏿Ubunifu na usimamizi wa majengo
👉🏿Urasimishaji
Na kwa maeneo yenye viwanja na mashamba ni kama yafuatayo:-
👉🏿Kingani beach-Bagamoyo mjini
👉🏿Kigongoni-Magereza bagomoyo
👉🏿Makurunge-Mkabala na razaba
👉🏿Mbwawa new residence-Mbwawa(kibaha mjini)
👉🏿Changwahela beach plots-Zinga
Tunakukaribisha sana huduma zetu ni bora na nafuu sana
Tunapatikana BAGAMOYO MJINI - Plot no 371,Block N ,Majengo
📍See my real-time location on Google Maps!
Kwa mawasilino zaidi waweza kutupigia simu ama message whatsapp
☎️0674376678
Au tufatilie kwenye mtandao wa kijamii wa instagram
Karibuni sana.
Mbona karibia vitu vyote ulivouliza majibu yake utayapata kwenye tangazo lenyewe. Kwanza kuna ramani unaweza kuangalia umbali hadi barabarani, km huduma za kijamii zipo, malipo unapewa control number unalipa within 90/120/180 days
 
Hatukatai ni mfumo mzuri wa uuzaji ila sasa unanunua hicho kiwanja,je umefika hapo mahala kilipo kiwanja,unafahamu huduma za kijamii zilizopo,umbali kati ya eneo husika na barabara kuu unaufahamu,na malipo yake yakoje?
Sisi wenye makampuni binafsi tunakuhakikishia uhakika na usalama wa pesa yako au hamtuamini wenye kampuni binafsi.
Basi wala usipate tabu ungana nasi.


Habari ndugu mtanzania mwenzangu.
Tunakukaribisha sana katika uwekezaji kwenye idara ya ardhi.
Sisi PMG AND ASSOCIATE COMPANY LIMITED tunajihusisha na shughuli mbalimbali kama :-
👉🏿Uuzaji wa viwanja na mashamba
👉🏿Upimaji wa ardhi
👉🏿Ubunifu na usimamizi wa majengo
👉🏿Urasimishaji
Na kwa maeneo yenye viwanja na mashamba ni kama yafuatayo:-
👉🏿Kingani beach-Bagamoyo mjini
👉🏿Kigongoni-Magereza bagomoyo
👉🏿Makurunge-Mkabala na razaba
👉🏿Mbwawa new residence-Mbwawa(kibaha mjini)
👉🏿Changwahela beach plots-Zinga
Tunakukaribisha sana huduma zetu ni bora na nafuu sana
Tunapatikana BAGAMOYO MJINI - Plot no 371,Block N ,Majengo
📍See my real-time location on Google Maps!
Kwa mawasilino zaidi waweza kutupigia simu ama message whatsapp
☎️0674376678
Au tufatilie kwenye mtandao wa kijamii wa instagram
Karibuni sana.
naona wewe hata mfumo wa atausi haujui unafanyaje kazi..
 
Kuna mtu kashapata hati au yuko kwenye process hiyo? Ni lazima uendee huko halmashauri husika?
Kwa Bagamoyo niliwauliza wakasema ukishalipia kiwanja unaenda wanakupa form ujaze uende ofisi za ardhi kuomba hati. Sijajua halmashauri zingine wana utaratibu upi
 
Kwa Bagamoyo niliwauliza wakasema ukishalipia kiwanja unaenda wanakupa form ujaze uende ofisi za ardhi kuomba hati. Sijajua halmashauri zingine wana utaratibu upi
Ohoo… sasa unaishi Dar, unanunua kiwanja Bukoba online, ukishalipia usafiri tena kuchukua form ya hati? Wangemaliza kila kitu online unaenda kuchukua hati tuu
 
Kuna mtu kashapata hati au yuko kwenye process hiyo? Ni lazima uendee huko halmashauri husika?
Lazma uende au utume mtu a peleke barua ya kuomba kumilikishwa, kisha utapewa gharama za hati utalipa na kuja a fomu usubir hati
 
Naombeni msaada mie nimefanya maombi yangu ya kiwanja lakini control namba sipati hivyo basi nashindwa kulipa ata ada ya maombi ya kiwanja
 
Naombeni msaada mie nimefanya maombi yangu ya kiwanja lakini control namba sipati hivyo basi nashindwa kulipa ata ada ya maombi ya kiwanja
control number unaipata hapo hapo kwenye mfumo. log in then nenda kwenye dashboard, then land sales then my application then bonyeza hapo kwenye mshale utapata option ya kuview bill
 

Attachments

  • Screenshot 2024-06-24 at 11.43.51 AM.png
    Screenshot 2024-06-24 at 11.43.51 AM.png
    373.3 KB · Views: 25
control number unaipata hapo hapo kwenye mfumo. log in then nenda kwenye dashboard, then land sales then my application then bonyeza hapo kwenye mshale utapata option ya kuview bill
Mkuu Mimi nmeomba viwanja viwili lakini inaonyesha kama hivi hapa chini
Screenshot_20240624-135818.jpg
 
Ohoo… sasa unaishi Dar, unanunua kiwanja Bukoba online, ukishalipia usafiri tena kuchukua form ya hati? Wangemaliza kila kitu online unaenda kuchukua hati tuu
Yule mshkaji Erick Kitali (MKURUGENZI TEHAMA TAMISEMI) amesema ndiyo kitu wanakipambania sasa. Ila mzigo ni mpaka December. Ila so far so good, wamejitahidi sana
 
Back
Top Bottom