Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Naifuta kauli hii kwa damu ya Bwana Yesu inenayo mema wakati wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM isiwe kigeugeu miezi mitatu nyuma kwa umoja wao kupitia aliyekuwa mwenyekiti wao walikataa chanjo kwa hiyo Gwajima yuko sahii kwa sababu huo ndio ulikuwa msimamo wa chama chao
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Gwajima ana 'watu',mtaaibika bure."Askofu Gwajima anahamasisha Wananchi wasiende kuchanjwa, ni utovu wa nidhamu kwa Serikali na kwa CCM, sisi Vijana wa CCM tunalaani vikali kauli zile na tunakiomba Chama Viongozi wa namna hiyo wachukuliwe hatua kali" :- Kenani Kihongosi, Katibu Mkuu UVCCM
Dawa imeshaanza kuwaingia eeh! Zijibuni hoja alizoleta kama mnayo majibu!Dodoma. Umoja wa Vijana wa CCM ( UVCCM) umekitaka chama chao kumchukulia hatua Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kwa kitendo chake cha kuhamasisha watanzania wakatae chanjo ya Uviko-19.
Katibu Mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi ameyasema hayo leo Jumanne Julai 28 2021 mara baada kumalizika kwa kikao cha sektarieti ya UVCCM.
Amesema mbunge huyo ametoa maneno ya kichochezi na kwamba yanakwenda kuwagawa wananchi kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan ameshatoa msimamo kwa wananchi wapate chanjo.
“Sisi umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi kauli zile tunazipinga na kuzilaani kwa sababu utaratibu wa CCM kama mbunge ana jambo lake anapeleka kwenye party cocus (kamati ya wabunge wa chama),”amesema.
Amesema utaratibu alioutumia mbunge huyo wakwenda kutoa maneno hayo kwa umma, kwamba mtu atakayediriki kuwaambia watu wachanjwe atakufa ni utovu wa kinidhamu.
“Lazima atambue yeye sio Mungu anayetoa uhai ni Mungu. Tunakiomba chama chetu viongozi wa namna hiyo aachukuliwe hatua kali za kinidhamu na ajieleze kwanini anaongea maneno ya namna hiyo,”amesema
Source: Mwananchi
Ana watu gani?Gwajima ana 'watu',mtaaibika bure.
sawa kabisa.na huyu je?
Huyu hatagombea ubunge ila mtashangaa, yajayo yanafurahisha saana😜!Huyu hatumpitishe tena kwenye ubunge 2025
Usikurupuke kujibu,siku nyingine utaabika. Itoshe tu kukuambia mimi siyo mataga. Tuheshimiane.Ana watu gani?
Labda Mataga Kama wewe mnaoenda kanisani kwake kumsikiliza mkiwa na akili timamu au akilizenu huwa mnaziacha nyumbani?
Jambo usilolijua kwako ni sawa na usiku wa giza nene.Hujui ulisemalo, kama Bashite tu aliweza kumlaza ndani sembuse serikali nzima ikiamua? 2015 aliwekwa ndani na Kikwete akazimia mahabusu! Mnapenda sana kuwaoverrate matapeli
Ametoa tuhuma nzito kwa Serikali nzima kuwa wamevuta mshiko toka kwa mabeberu.Aisee yaani mtu kaongea kanisani like a pastor na sio mwanasiasa wamuadhibu kwa lipi
And by the way hata wafanyeje chanjo mma
Kwa hawa madhalim wakigombana sisi zetu kuni tu kuchochea moto wababuke kabisa.Ndugu wakigombana, shika jembe ukalime.
Hawa wanaomsikiliza hapa...Ana watu gani?
Usalama wa raia kwanza! Hiyo chanjo hata hatuielewielewi!MH.GWAJIMA NA TUHUMA NZITO MNO......
Ukimsikiliza vyema katika ile CLIP yake kuna sehemu amerudia mara mbili kumtaja Hayati JPM...."kuwa ni kwanini Sasa chanjo ije baada ya JPM kuaga dunia....alipoaga dunia tu,chanjo zimekuja".....
Kauli hii ni ya hovyo kupindukia.....
Anataka AMCHAFUE RAIS SSH kwa "kumdogosha na kumfanya mwepesi kiuongozi" kwa kuwa HAYATI JPM ameacha LEGACY ya misimamo ISIYOYUMBA.....
MANENO HAYA NI MANENO MABOVU MNO KUTOLEWA NA MBUNGE TU DHIDI YA AMIRI JESHI WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA
#GwajimaAfukuzweCCM
#KaziIendelee
#TujiandaeKuchanjwa
#JMTMilele
2030 presidential candidateHuyu hatagombea ubunge ila mtashangaa, yajayo yanafurahisha saana😜!