UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote

UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote


Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.

Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.

Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?

Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.
Mikwara ya kichaa cha dogi
20230803_061623.jpg
20230803_061548.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.

Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.

Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?

Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.
Hawa vijana wamechanganyikiwa nadhani kama hawataki akanyage chato ,je chama chao kimeenzi falsafa za JPM kila mtu anao uhuru ,hizi zama za kujipendekeza ni uvivu wa akili
 
Ni aibu kubwa kwa wale chawa wote wanaotaka kuigawa Tanganyika vipande vipande.

Ni fahari isiyo kifani,shetani ameshindwa na mambo yake yote,Mungu karuhusu ukweli ,haki,upendo na mshikamano wa watanganyika kushika hatamu.

Muhimu watanganyika wamejua Mkapa aliuza dhahabu yetu kwa wazungu.
Kikwete aliuza gesi kwa wazungu.

Samia ameuza bandari zetu zote milele kwa waarabu wa Dubai.

Wanaojaribu kupenyeza hoja ya kijinga na dhaifu kupitia dini wanazidi kuaibika.

Ngongo kwasasa Sharjah.
 
Mzungumzaji anapiga biti huku akibabaika na kutetemeka, biti lenyewe analisoma akijing'ata inaonekana dhahiri kaandikiwa. Kuna baraka za wakubwa wao. Na kwa akili mbovu ya yule dc wa chato, sijui nani nani Katwale, lazima anahusika hapo.
 
Back
Top Bottom