UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan

UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan

Huyu anaomba Radhi kwani wameshamaliza kutuua kama alivyokuwa anajinadi Majukwaani?
 
Kabisa mkuu hakika Dua yangu ameipa!
Bila shaka Mungu ata ikubali Dua yangu maana sina dhambi ninayo itambua mimi kama mimi kuitenda!
Hivyo ina nifanya niamini Dua zangu kukubaliwa!
Mwezi Mungu mwingi wa rahma nina hakika ata mlinda na kumpa afya njema na umri wa ziada!
Hatukuzowea kuona wala hatukujua kuwa binadamu anaweza kufungwa kwenye viromba na kudumbukizwa baharini!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hakika machozi ya mtu mwenye kudhulumiwa nafsi haya jawahi kwenda bure [emoji24]
Hakika mkuu na ndiyo maana unaona wote walishiriki kutenda hiyo dhuruma wanalipwa kwa waliyo yafanya.
 
Kabisa mkuu hakika Dua yangu ameipa!
Bila shaka Mungu ata ikubali Dua yangu maana sina dhambi ninayo itambua mimi kama mimi kuitenda!
Hivyo ina nifanya niamini Dua zangu kukubaliwa!
Mwezi Mungu mwingi wa rahma nina hakika ata mlinda na kumpa afya njema na umri wa ziada!
Hatukuzowea kuona wala hatukujua kuwa binadamu anaweza kufungwa kwenye viromba na kudumbukizwa baharini!
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hakika machozi ya mtu mwenye kudhulumiwa nafsi haya jawahi kwenda bure 😭
Pl
Nakazia, mama awapelekee moto hawa wapumbavu walamba matako, walitufikisha sehemu mbaya sana kama taifa chuki ilikua imefikia kiwango ambacho ilikua inasubiriwa trigger tu watu tuanze kuuwana kama Sudan.
leo hii wanajifanya watu wa imani sana watu wa swala tano.. Leo hii wanajua kusamehe maana yake...Leo hii wanajua upendo hahahaahahaha nyani haoni kundule
 
Ndio alisema kuwa lissu atamchoma sindino ya sumu ...


Huyu sio wa kusameheee wakuu
 
Mod acheni Uhuru wa kutoa maoni utamalaki!
Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.
 
Hapo hajaomba radhi amesema kauli za UVCCM ziendane na matakwa na dhamira ya Rais aliyemdarakani..ina maana akija katili basi na wao wawe makatili pumbavu.

Ajiudhuru
 
Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.
Wewe ni mgeni hapa jamvini, hiyo kauli aliitoa na kuna uzi wake upo humu.

Bila kumsahau yule DC wa Arusha Kennan Kihongosi aliwahi kusema wapinzani wanatakiwa wauwawe, aliyasema hayo akiwa mwenyekiti wa uvccm Iringa

Nyuzi zao na videos zipo humuhumu ngoja wafukua makaburi wataziweka hapa muda si mrefu.
 
Huyu dogo kasha dumbuliza wengi sana bahari kama alidiriki kusema ata mchoma Tundu Lissu sindano ya sumu wazi kabisa hafai ata iweje!
 
Mlivyo muua Kamanda Mawazo kinyama namna ile na wenginaeo weeengiiiii.... Na mkajeruhi wengi sana.
UVCCM mmetutesa sana.

Rais lazima aunde tume kama jina lake SULUHU/MARIDHIANO. Kama kweli tunataka kuponya nchi na tuwe wamoja tena.
Nchi imeparaganyika sana hii.

Msamaha hauji tu kwa kutweet, .
 
1617007773047.png
 
Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.
Bwana Mhariri mbona mnasahau maapema Sana!
Bahati mbaya Sana nipo eneo network ipo chini....kuweka hiyo video ...ingiaa YouTube tafuta ...Mwenyekiti Uv CCM amatishia Lissu utasikia!
Suala hili pia Lissu alilieleza kwenye mkitano wa Kampeni Babati,tarehe 18.10.2020!
Subirri wadau watakuletea hiyo...all in all Dhambi hii no lazima ilipwe ...Mungu Anaishi!
 
Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.
Eti unanipa robo saa😆😆😆🤭
 
Back
Top Bottom