Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Hapana, hii ni kufa kwa mku**u mavi utawanyika.Zilongwa mbali, Zitendwa mbali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, hii ni kufa kwa mku**u mavi utawanyika.Zilongwa mbali, Zitendwa mbali!
Nitarudi......!!!
utakaporudi, Ni tag tafadhali nami nirudi 😅
Hakika mkuu na ndiyo maana unaona wote walishiriki kutenda hiyo dhuruma wanalipwa kwa waliyo yafanya.Kabisa mkuu hakika Dua yangu ameipa!
Bila shaka Mungu ata ikubali Dua yangu maana sina dhambi ninayo itambua mimi kama mimi kuitenda!
Hivyo ina nifanya niamini Dua zangu kukubaliwa!
Mwezi Mungu mwingi wa rahma nina hakika ata mlinda na kumpa afya njema na umri wa ziada!
Hatukuzowea kuona wala hatukujua kuwa binadamu anaweza kufungwa kwenye viromba na kudumbukizwa baharini!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hakika machozi ya mtu mwenye kudhulumiwa nafsi haya jawahi kwenda bure [emoji24]
PlKabisa mkuu hakika Dua yangu ameipa!
Bila shaka Mungu ata ikubali Dua yangu maana sina dhambi ninayo itambua mimi kama mimi kuitenda!
Hivyo ina nifanya niamini Dua zangu kukubaliwa!
Mwezi Mungu mwingi wa rahma nina hakika ata mlinda na kumpa afya njema na umri wa ziada!
Hatukuzowea kuona wala hatukujua kuwa binadamu anaweza kufungwa kwenye viromba na kudumbukizwa baharini!
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hakika machozi ya mtu mwenye kudhulumiwa nafsi haya jawahi kwenda bure 😭
leo hii wanajifanya watu wa imani sana watu wa swala tano.. Leo hii wanajua kusamehe maana yake...Leo hii wanajua upendo hahahaahahaha nyani haoni kunduleNakazia, mama awapelekee moto hawa wapumbavu walamba matako, walitufikisha sehemu mbaya sana kama taifa chuki ilikua imefikia kiwango ambacho ilikua inasubiriwa trigger tu watu tuanze kuuwana kama Sudan.
Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.Mod acheni Uhuru wa kutoa maoni utamalaki!
Kumbe jina lake ni la wizi siyo lake 😂😂 huyu dogo apatane na nani sisi tulisha kuwa sugu tupo pamoja na Mama sasaHivi naskia huyu mdogo wake na Ditto James!!!
Kina roho ya uuaji hiki kijamaa
Tuzidi kuwaombea wawe na mwisho mbaya zaidiHakika mkuu na ndiyo maana unaona wote walishiriki kutenda hiyo dhuruma wanalipwa kwa waliyo yafanya.
Wewe ni mgeni hapa jamvini, hiyo kauli aliitoa na kuna uzi wake upo humu.Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.
AminaTuzidi kuwaombea wawe na mwisho mbaya zaidi
Bwana Mhariri mbona mnasahau maapema Sana!Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.
Eti unanipa robo saa😆😆😆🤭Salaam Mkuu, tunaomba utuwekee hiyo Video akisema hayo Maneno. Tunajitahidi kukusikiliza na tunakupa Robo saa, Ukishindwa itachukuliwa kama unampaka matope. Tupe ushahidi wowote usiotia shaka.
Mama mcha Mungu hapendagi unafiki wa kikolomije.