Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hahaa
Kila zama na kitabu chake bwashee!
Hapo bado David Kafulila aka tumbili anatunga mistari !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila zama na kitabu chake bwashee!
Hapo bado David Kafulila aka tumbili anatunga mistari !
Hivi kumbe hawa walikuwa wanajua kwamba kule juu watu wanakosea? Si haba wametujuilisha. Kazi kwao
Kweli maisha yanaenda kasi sana, Kheri James leo anaongea maneno kama kanyeshewa na mvua.
Maybe is never too late
Kweli maisha yanaenda kasi sana, Kheri James leo anaongea maneno kama kanyeshewa na mvua.
Hakuna jambo la kishamba na kijinga kama kuteka na kuuwa!!Maybe is never too lateView attachment 1737478
Walikuwa wanajidanganya hivyo na waliaminishwa hivyo
Kabisa mkuuHakika wameumbuka
Sijui aisee, ila binafsi nilijiuliza chuma kilipata wapi ujasiri wa kufanya mikutano ya hadhara ilhali wimbi la pili lilikuwa limepamba moto.Hivi ni kweli second wave ndo imesimamisha kifaa?,au maneno ya watu..
Kila zama na kitabu chake bwashee!
Hapo bado David Kafulila aka tumbili anatunga mistari !
Wanajua fika kua wanakosea,Hivi kumbe j
Hivi kumbe hawa walikuwa wanajua kwamba kule juu watu wanakosea? Si haba wametujuilisha. Kazi kwao
Chuma alikuwa anaogopeka aloo,aliowaacha pia wamerudia yaleyale ya kuvua barakoa hata wakati Wa kumlaza,ili kumuenzi chuma.Sijui aisee, ila binafsi nilijiuliza chuma kilipata wapi ujasiri wa kufanya mikutano ya hadhara ilhali wimbi la pili lilikuwa limepamba moto.
Unajua tatizo ni kuwa, kama wangevaa barakoa ingeleta picha kuwa pengine chuma kiliyeyushwa na deportivo...kitu ambacho kingekuwa ni kama kukivua nguo chuma cha pua.Chuma alikuwa anaogopeka aloo,aliowaacha pia wamerudia yaleyale ya kuvua barakoa hata wakati Wa kumlaza,ili kumuenzi chuma.
Kabisa mkuu hakika Dua yangu ameipa!Hii ni nafasi yetu watanzania kuzidisha maombi kwa mama yetu Samia awatupe kabisa watu kama huyu Hery James na Sabaya
Wamrudishe, Alphonce mawazo, Ben sanane, AZORY GWANDA, Daniel John na marehem wote waliowaua ndio tuwafikirie msamahaMaybe is never too lateView attachment 1737478
Viongozi wa kitaifa Wnatakiwa kutunza kauli ' public figures have to keep their words 'Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umeomba radhi iwapo kuna mahali walitofautiana kimtazamo na makundi mengine na kutaka vijana wengi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika majukumu yake ya kuiongoza nchi....
Maisha ni history. Pamoja na mambo ya nyuma usiotaka wayatazame . Huyu dogo ni mwaka Jana tu aliahidi kutumia sumu na si risasi tena . Na wapumbavu walichekeleaNi wakati wa kuzika tofauti zetu.......tusitazame nyuma......tufungue kurasa mpya......tunaomba Radhi....dah