UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan

UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan

Wanajishtukia

IMG-20210329-WA0009.jpg
 
Kwa nini wasingemuomba HAYATI wakati yupo hai ili asiendeshe inchi kwa njia kandamizi wameona kafa ndo wanakuja kutuletea maigizo ya kuombana huku watu wameshapoteza maisha,kazi,mitaji,viungo vya miili,TLtrust,Afya n.k
 
MK. 11:25-26 Nanyi, kila msimamapo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu; ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu. [ Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]

وَإِنْ تَعْفُوا وَتَصْفَحُوا وَتَغْفِرُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَحِيمٌ
Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria, basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
(Suratul Taghābun, Na. 64, Ayat 14)
 
Ishu ni kwamba mh. SSH sio mnafki huyu sio kama yule ukimsifia unapata nafasi si unajua tena wazenji na unafki hawaendani nao. Sasa wamewaza watumie njia ipi kumwingia 🤔🤔
Daah hakuna acha turudi kutafuta huruma ya jamaa zetu sasa.
 
Uvccm kwa kipindi chote cha utawala wa magufuli, wamekula sana bata! Yaani hawakufanya siasa zozoote zile za maana za kukijenga chama chao!

Maana pesa za kuwahonga wapinzani njaa zilitolewa kutoka juu, dhuluma, ukandamizaji, na uonevu vilifanywa mchana kweupe kwa wapinzani kupitia polisi na watu wasiojulikana!

Sasa haya yote yatabakia kuwa historia! Maana udikteta umekufa kifo ambacho hakikutarajiwa na wengi! Wakiwemo hao uvccm wenyewe na MATAGA kwa ujumla wake.
 
Uvccm kwa kipindi chote cha utawala wa magufuli, wamekula sana bata! Yaani hawakufanya siasa zozoote zile za maana za kukijenga chama chao!

Maana pesa za kuwahonga wapinzani njaa zilitolewa kutoka juu, dhuluma, ukandamizaji, na uonevu vilifanywa mchana kweupe kwa wapinzani kupitia polisi na watu wasiojulikana!

Sasa haya yote yatabakia kuwa historia! Maana udikteta umekufa kifo ambacho hakikutarajiwa na wengi! Wakiwemo hao uvccm wenyewe na MATAGA kwa ujumla wake.
Ndiyo maana sasa hivi tunawaona wanavyo tapatapa kila kukicha.
 
Unafiki katika Ubora wake. JPM kamaliza kazi yake Mungu kamuita waliobaki huku nyuma ni kuendekeza unafiki. Be a man, vipi tena?
 
Ama kweli MATAGA wameanza kuonja joto ya jiwe.

Huyu Heri ni mpuuzi wa kiwango cha matope.
Yaani zile kauli zake za kuua leo ana ziombea msamaha?
Aseme aliua wangapi?
Anatakiwa ajue sasa utawala wa Kisukuma unaelekea mwisho. Unafiki wa kumtaja Mungu huku hamtendi sawa na mapenzi yake umekwisha.
Sasa Mungu katuletea mja wake. Mama Samia, mtumishi wa Mungu atutoe kwenye mateso ya miaka mitano.
 
Back
Top Bottom