UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan

UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan

Waonyeshe zilipo zikwa maiti ya kina Ben Azory na wengine,ili familia zao nazo zizike upya kwa heshima,ndio tuje turidhie msamaha.

Vinginevyo moto ulioanza kuunguza juu utawashukia.Hakuna rangi mtaacha kuona
 
😂 😂 😂 😂
Angalia kumbukumbu zako vizuri mkuu, mimi nimeanza ku'comment jukwaa la siasa majuzi baada ya tetesi za kuwa Chuma kinaumwa. Siku zote kabla nilikuwa nachungulia na kusepa kimya kimya.

Jambo pekee nililomuunga mkono ni kutoweka lockdown tu.
Hivi ni kweli second wave ndo imesimamisha kifaa?,au maneno ya watu..
 
Mwenyekiti Wa Uvccm Taifa Heri James amesema Uvccm inaomba radhi kwa watanzania Kama kuna Mambo walitenda ambayo yalichochea chuki,Uhasama na uadui kwa watanzania."Tuna haki ya kuombana radhi Kama Taifa ili kumpa fursa Rais Samia Suluhu Hassan aweze kuuongoza Taifa lenye mshikamano.

Huyu mwenyekiti kwa zile kauli za uchaguzi 2020, afanye kutuchinjia mbuzi tule na tunywe halafu tujadili hili suala.
 
Mwenyekiti Wa Uvccm Taifa Heri James amesema Uvccm inaomba radhi kwa watanzania Kama kuna Mambo walitenda ambayo yalichochea chuki,Uhasama na uadui kwa watanzania."Tuna haki ya kuombana radhi Kama Taifa ili kumpa fursa Rais Samia Suluhu Hassan aweze kuuongoza Taifa lenye mshikamano.

Huyu mwenyekiti kwa zile kauli za uchaguzi 2020, afanye kutuchinjia mbuzi tule na tunywe halafu tujadili hili suala.
Kimila nini hiyo?!
 
Back
Top Bottom