Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
MUNGU ametusaidia sn kwa kwelibora inchi imerudi serikalini, maana inchi ilikuwa vichochoroni uko kwenye genge la wahuni wasiyoheshimu katiba waligeuza Tz gheto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU ametusaidia sn kwa kwelibora inchi imerudi serikalini, maana inchi ilikuwa vichochoroni uko kwenye genge la wahuni wasiyoheshimu katiba waligeuza Tz gheto
Kweli maisha yanaenda Kasi Sana huyu Dogo leo anaongea maneno Kama kanyeshewa na mvua
Kweli maisha yanaenda Kasi Sana huyu Dogo leo anaongea maneno Kama kanyeshewa na mvua
halafu wewe ulikuwa unasifia sana,nikakwambia achaTime flies so damn fast.
Nilikuwa nasifia nini mkuu?halafu wewe ulikuwa unasifia sana,nikakwambia acha
Amesemaje huyo Kheri James Magufuli? Maana siwezi hata kusoma uchafu wake.Dogo alikuwa na nyodo sana.
Sa hivi zam ya wapemba.
Dogo atulizane
utawala wa magufuli mkuuNilikuwa nasifia nini mkuu?
Kumbe alikuwa anajua kama anakosea?Ni wakati wa kuzika tofauti zetu.......tusitazame nyuma......tufungue kurasa mpya......tunaomba Radhi....dah
😂 😂 😂 😂utawala wa magufuli mkuu
Tena nasikia ni mdogo wake toka nitokeHivi naskia huyu mdogo wake na Ditto James!!!
Kina roho ya uuaji hiki kijamaa
Waangalie vizuri hao walikaa pembeni hawajiamini kabisa hata nuru hawana kisa matendo waliyoyatenda ndi yanawahukumu.Huyu KIJANA na wenzake kauli zao na utendaji wao wa kisifasifa umeumiza watu wengi sana na kuongeza idadi ya waliokichukia CCM. Aidha wengi walijiunga nao huku mioyoni wana mambo yao wakimuomba Mungu awasamehe waishi vile wapendavyo hawa. Binafsi sikupendezwa na ubabe na kauli zao. Hapa anawataja act waishi anajua kabisa CHADEMA ndicho Chama chemie VIJANA wengi tena huenda kushinda CCM ambacho kimekusanya VIJANA wenye tamaa na matarajio ya uongozi tu tena wa Mtindo wowote ule. Ushiriki wenu kuathiri chaguzi kibabe unawanyima kibari mbeleni ZA Mungu wenu. Jitahidi kubadilika sana
Kweli maisha yanaenda Kasi Sana huyu Dogo leo anaongea maneno Kama kanyeshewa na mvua
Mkuu hadi ameongea hivyo maana yake ni kuwa kwenye kamati kuu Mama Samia amisha wambia msimamo wake.Hawa jamaa mi ningewashauri tu wasiongee kitu kwa sasa ..walau 3 months. Maama wamechanganyikiwa. Wananena kwa Lugha..